Wakili LHRC: Hakuna Mwanamke anayeweza kumbaka Mwanaume

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,510
8,401
20240116_085929.jpg
"Hata kwenye Sheria yetu ya Kanuni ya adhabu imeeleza kwamba Mwanamke ni nani?, ili kueleza kwa nini tunasema Mwanaume ndiye anayeweza kubaka na sio Mwanamke, japo siku hizi kuna Kampeni nyingi, Wanaume nao wanasema na wao wanabakwa wasikilizwe, lakini sababu kubwa ndio hiyo kuwa kuna mwenye 'kibakio' na mwenye 'kibakwa' ni hivyo" -Wakili Getrude

"Haiwezekani mwenye 'kibakio' akabakwa kwa sababu kinachotumika kubaka anacho yeye kwahiyo huyo hana, Kwahiyo hawezi kumbaka, naona kama Jamii inatafuta sehemu ya kujifichia" -Wakili Getrude

Wakili Getrude Dyabene kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) amezungumza hayo leo, Jumanne Januari 16.2024 wakati akifanya mahojiano maalumu na Clouds FM kupitia Kipindi cha Power Breakfast
 
Mwaka flani nilisoma habari ya kisa kimoja BBC....!

Ulaya huko kuna Mdada alikua na Salon yake, sasa kuna siku hakukuwa na Wateja sijui alijichanganta vipi akaibiwa mchana kweupe hapo Salon, Simu na vitu vingine, yule Dada alijua yule mwizi atakuja kurudi siku moja, so akaweka mitego yake, siku ya siku Mwizi kaibuka tena Mchana, kumbe yule Dada keshamuona, akaenda kumkamata, wakaanza kushindana, kumbe yule Dada ashawahi kuwa Mcheza Kareti huko nyuma, kampa karateka kadhaa yule mwizi akatulia.

Dada kamfunga kamba akaanza kumuuliza maswali, Mwizi akakiri ni yeye aliyeiba siku kadhaa nyuma, mwizi akaomba aachiwe kwa vile siku hiyo hakufanikiwa kuiba, na kwamba sasa ameomdoa plan yake ya kuwa anakuja kuiba hapo salon.

Dada akamwambia nyanyuka tuondoke, Mwizi akamwomba asimpeleke Police.... Dada akamwambia sikupeleki Police, akampakiza kwenye Gari akampeleka Nyumbani kwake!

Kumbe Dada mwenyewe alikua mshenzi flani, kamnyesha Viagra yule kibaka kwa nguvu, kazi ikawa Kumbaka yule Mwizi, Dada alikua akikalia Dudu ujue kushuka hapo ni Masaa 2, ataenda kuoga, atakula Pombe kidogo, baada ya masaa machache atakuja kukalia Dudu tena masaa 2, kazi ikawa ndo hiyo, kwa siku 3 mfululizo, usiku na mchana....!

Mpaka yule Kaka akawa analia kwamba hatarudia tena....! Baada ya siku 3, Dada akamfungua Kamba Kibaka akamwambia nenda nimekusamehe, Kibaka katoka pale kaenda kufungua kesi Police.....
Dada akaitwa Police, ila akaenda kumkana yule Kaka kwamba hamjui, ni kweli ana Salon ila hajawahi kuibiwa hata siku moja....!!!


Police wakamwachia yule Dada kwa sababu hakukuwa na Ushahidi wa kutosha!
 
Kubaka ni kitendo cha kutumia nguvu kumlazimisha mtu kufanya ngono bila hiari yake .Mimi ningependa tafsiri hii iwe kubaka ni kitendo cha kutumia akili au nguvu kumlazimisha mtu kufanya ngono bila hiari yake ,alafu mazingira ndiyo yàangaliwe kithibitisha ukweli huo maana kimsingi wanaume wanabakwa kwa kisaokolojia ;example mpo katika mazingira tatanishi alafu mwanamke anamuonesha mwanaume sehemu zake za siri automatically Kama huyo mwanaume is physically fit na sio mtu wa dini tunajua nini kitatokea.
 
"Hata kwenye Sheria yetu ya Kanuni ya adhabu imeeleza kwamba Mwanamke ni nani?, ili kueleza kwa nini tunasema Mwanaume ndiye anayeweza kubaka na sio Mwanamke, japo siku hizi kuna Kampeni nyingi, Wanaume nao wanasema na wao wanabakwa wasikilizwe, lakini sababu kubwa ndio hiyo kuwa kuna mwenye 'kibakio' na mwenye 'kibakwa' ni hivyo" -Wakili Getrude

"Haiwezekani mwenye 'kibakio' akabakwa kwa sababu kinachotumika kubaka anacho yeye kwahiyo huyo hana, Kwahiyo hawezi kumbaka, naona kama Jamii inatafuta sehemu ya kujifichia" -Wakili Getrude

Wakili Getrude Dyabene kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) amezungumza hayo leo, Jumanne Januari 16.2024 wakati akifanya mahojiano maalumu na Clouds FM kupitia Kipindi cha Power Breakfast
mimi mwanamke wa kwanza kukutana nae kimapenzi alikuwa mama yake rafiki yangu,jirani yetu [alikuwa akifuga kuku wa nyama],basi nikaenda kumtembelea rafiki yangu,nilipofika kwao nikawa namwita kwa sauti,,mama yake akaitikia akiwa bandani,akasema "njoo huku",,,nilipofika kule,mamake mshikaji akanikamata,na kunitupa juu ya magunia ya pumba,then akaanza kunipapasa kama fundi anaepiga nyumba plaster,mara kibakio changu kikasimama,akavua kufuli lake akaniambia nichomeke kibakio changu kwenye kibakwa chake,,,nilisikia raha ya ajabu!!! so huyu mwanasheria hajui anachoongea,,,kwanza sura yake inaonyesha ukiingia kwenye 18 zake anakubaka kama wanawake wa zambia!!
 
Nakubaliana na huyu wakili yupo sahihi kabisa, kwamba hakuna mwanamke mwenye huo uwezo.

Kwa wasomaji wa Biblia kuna kisa cha Yusufu na mke wa bosi wake mnaelewa fika kilichosababisha Yusufu afungwe gerezani kwa kosa la kusingiziwa 'kutaka kubaka mke wa bosi' na alikwenda gerezani huyo kijana. Soma Mwanzo 39:7-20 kukipata kisa hicho.

Katika kisa hicho mwanamke aliyewaka tamaa ya ngono na kumtamani Yusufu alishindwa kumshawishi kwa ulimi hadi akaamua siku moja kutumia njia mbadala (ubakaji) yaani kumbaka Yusufu na kwa kuwa huyo kijana alijua ni tamaa tu ya huyo mwanamke basi alitoka nduki na kumwacha boxer na kanzu.

Hakika hakuna mwanamke anayeweza kumbaka mwanaume na ikitokea amelala pamoja na kufanya ngono na mwanaume atakuwa hajambaka bali wamenyanduana kwa ridhaa zao wote wawili.

Wakili Getrude apewe maua yake.

Screenshot_20240116-103916.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom