BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,510
- 8,401
"Haiwezekani mwenye 'kibakio' akabakwa kwa sababu kinachotumika kubaka anacho yeye kwahiyo huyo hana, Kwahiyo hawezi kumbaka, naona kama Jamii inatafuta sehemu ya kujifichia" -Wakili Getrude
Wakili Getrude Dyabene kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) amezungumza hayo leo, Jumanne Januari 16.2024 wakati akifanya mahojiano maalumu na Clouds FM kupitia Kipindi cha Power Breakfast