DOKEZO Nimekata tiketi VIP basi la Happy Nation, lakini halina huduma hadhi ya VIP. Naweza kulalamika wapi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Namba hizo hapo
IMG-20240103-WA0033.jpg
 
Nimepanda Happy Nation( BUSINESS CLASS) la saa 10:00 kutoka Bukoba to Dsm kwa NAULI ya 120,000/.

Hilo basi halina AC na pia CHOO chake haki flush tunalazimishwa kuchimba dawa kwa KUJILIPIA hiyo huduma. Konda hana jibu la malalamiko yetu yote, likiwemo la kurudishiwa nauli inayobebwa na hiyo business class. Nani mhusika kwa sakata hii?

View attachment 2861202

Nijulishe na namba yake tafadhali.
happy nation hawana basi la vip

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema wahuni, Uswahili sio dhambi. Ni waswahili pekee wanatumia neno mswahili kama tusi. Huu ujinga haupo kwenye race nyingine yeyote ile Duniani. Race zingine zote wanajiona wao ni superior huku waswahili mnawatukana wenzenu kwa kuwaita waswahili.
Kuna tofauti ya yangi nyeusi na uswahili. Sijatukana watu weusi, nimezungumzia tabia za kiswahili.

Kuna mahala nimesema watu weusi ni wa hovyo?

Uswahili ni tabia, sio rangi. Ni obvious ulimwambia mtu yoyote kamba flani ana mambo ya kiswahili anaelewa unazungumzia nini na haihusiani na rangi ya weusi.
 
Bongo hamna basi VIP
Kweli kabisa mkuu. Tarehe 28 Dec 2023 nilinunua tiketi ya ABOOD bus service, VVIP toka Dar- Bukoba kwa sh 110,000 /=. Ukweli hakuna cha I-Vip wowote. Ni choo tu nacho mpaka uombe ufunguliwe. Eti kwa zaidi ya 1200 KM unapewa ka - soda kamoja tu safari nzima. Hii si haki ilibidi watoe na vitafunwa.
 
Biashara ya mabasi ni biashara ya kitapeli sana.

Enzi zile kuna darlux wakawa wanasema gari ina wifi hivyo watu wakawa wanalipishwa bei ya luxury ila ukiingia ndani kila siku mtaambiwa kwamba kifaa cha wifi kina matatizo.

Mbaya zaidi wakawa kama unatokea dar wanaenda kusimama kwenye kihoteli kimoja kiko bahi, mshikaji wangu alikula pale wali aliharisha nusu afe.

Vile nilikua mteja wao siku moja nikawaambia huu Uswahili wenu ipo siku hii kampuni itakufa, kweli Uswahili ukaiua darlux.

Maisha yamebadilika kidogo sasa long safari yoyote kama sijaenda na gari binafsi basi ni flight tu. Mabadi ni waswahili sana.
Yuko safarini na anakula wali? Ni msukuma?
 
Sema wahuni, Uswahili sio dhambi. Ni waswahili pekee wanatumia neno mswahili kama tusi. Huu ujinga haupo kwenye race nyingine yeyote ile Duniani. Race zingine zote wanajiona wao ni superior huku waswahili mnawatukana wenzenu kwa kuwaita waswahili.
Uswahili ni ile hali ya kuwa na maneno mengi sana lakini ya utapeli, ujanja ujanja, magumashi au yasiyo na tija.
 
Kuna tofauti ya yangi nyeusi na uswahili. Sijatukana watu weusi, nimezungumzia tabia za kiswahili.

Kuna mahala nimesema watu weusi ni wa hovyo?

Uswahili ni tabia, sio rangi. Ni obvious ulimwambia mtu yoyote kamba flani ana mambo ya kiswahili anaelewa unazungumzia nini na haihusiani na rangi ya weusi.


Ukibadilisha hizo tabia una upgrade na kuwa mzungu au muarabu sio? Endelea kupambana utagraduate Uswahili.
 
Sema wahuni, Uswahili sio dhambi. Ni waswahili pekee wanatumia neno mswahili kama tusi. Huu ujinga haupo kwenye race nyingine yeyote ile Duniani. Race zingine zote wanajiona wao ni superior huku waswahili mnawatukana wenzenu kwa kuwaita waswahili.
Sasa si waswahili,mi nae mswahili kwani shida kuitwa mswahili
.mswahili ni yule mtu anatoa ahadi zisizotekelezeka.
Umeme mgao mwisho kesho.
Mgao unaendelea.
VYakula vitapungua bei,
Kesho imezidi.
Maji yapo huku watu hawana maji.
Nchi hii tajiri sana,huku watu wanakufa maskini.
Mpk sasa wewe raia hapo ulipo unadaiwa mil km sio bil 2.
Ndo huyo mswahili,matumaini mengi utendaji zero.
We unalaumu hapa labda mangi nae ana kesi nawewe hapo mtaani.
Ulikopa unga hujalipa,
Ndo uswahili huo.
Mi nashukuru kuwa mswahili,sio zambi,
leo nikiona naelemewa basi nnapiga uswahili wangu life linaendelea.
Kesho niko sawa utashangaa
Nakupa chochote zaidi ya mara 2 toka kile nimepiga mwanzo.
Ni mambo ya kawaida tu,ila USIZULUMU MTU.
 
Sasa si waswahili,mi nae mswahili kwani shida kuitwa mswahili
.mswahili ni yule mtu anatoa ahadi zisizotekelezeka.
Umeme mgao mwisho kesho.
Mgao unaendelea.
VYakula vitapungua bei,
Kesho imezidi.
Maji yapo huku watu hawana maji.
Nchi hii tajiri sana,huku watu wanakufa maskini.
Mpk sasa wewe raia hapo ulipo unadaiwa mil km sio bil 2.
Ndo huyo mswahili,matumaini mengi utendaji zero.
We unalaumu hapa labda mangi nae ana kesi nawewe hapo mtaani.
Ulikopa unga hujalipa,
Ndo uswahili huo.
Mi nashukuru kuwa mswahili,sio zambi,
leo nikiona naelemewa basi nnapiga uswahili wangu life linaendelea.
Kesho niko sawa utashangaa
Nakupa chochote zaidi ya mara 2 toka kile nimepiga mwanzo.
Ni mambo ya kawaida tu,ila USIZULUMU MTU.

Ukibadilisha hizo tabia una upgrade na kuwa mzungu au muarabu sio?
 
Back
Top Bottom