Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mwenzako mbona kufanya kama wao nawezagaa 🎤
Ila tatizo naona aibuu
Style zote mpaka za kuvunja chaga
Naziweza ila mpaka niwe na vibe 🍻
Basi ngoja kwanza ninywe kidogo
Nikilewa ndo nakuwa mtamu 😂😂

mshamba_hachekwi 😂😂 hatarii


View attachment 2856994
Naona guiness smooth apo kati..ila kale ka-guiness kakuitwa stout ni noma ukigonga vitatu unaanza kuona maluweluwe na mapichapicha
 
C0063857-6B7A-4C3F-A215-65FBE52476C6.jpg

2024
 
Back
Top Bottom