Hii poll iko website wizara ya elimu.
Sijui hata kama wanalichungulia. Au imewekwa tu kukamilisha mahitaji.
How do you rate level of education in Tanzania
Medical database. Niweze kuweka
short history of a patient, kuinclude Xray picture na ikiwezekana picha ya mgonjwa.
diagnosis (tatizo la ugonjwa wake)
matibabu, medical or surgical
treatment outcome: may include xrays after operation, pictures
niweze kuwa na uwezo wa kupata the whole...
Hii ndio hali ilivyo katika wodi za Muhimbili, pamoja na serkali kudai huduma kurejea kama kawaida.
Waandishi wa habari wanaweza kwenda kuwahoji wagonjwa wodi za SewaHaji ground floor.
Hapa ni mlango wa kutokea nje ya wodi
Juu: Hii ni korido inayounganisha wodi mbili
Baadhi ya wagonjwa...
Ni baada ya mabadiliko ya hali ya Ulimboka.
Wagonjwa waliokwishalipia tu ndo wanaonwa leo.
Emergence yasimama.
Source: Mimi niko ground zero
UPDATE:
Kutoka gazeti la Mwananchi
Kwa muda wa mwaka mmoja tangu nihamie hapa JF nimekuwa nikiona new members wakiingia jamvini na ID zinazoambatana na matukio ya kipindi hicho anachoji-register.
Mfano:
Janjaweed,
Rais wa migomo,
Chipolopolo,
ENDELEA............
RichardBrunwick
26 January 2012 2:33PM
Tanzania's Kikwete is one of the most pathetic African leaders of our times. He is a peacetime leader for a country known to be one of the richest in the world in terms of natural resources, yet he leades the world with begging. Foreign companies have...
Muhimbili yapunguza gharama za vipimo
Tuesday, May 17, 2011, 8:50
Habari, Mtanzania
Hili punguzo limeleta nafuu kubwa kwa wagonjwa wanaotibiwa katika Muhimbili na MOI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.