Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,006
- 1,254
Hii ndio hali ilivyo katika wodi za Muhimbili, pamoja na serkali kudai huduma kurejea kama kawaida.
Waandishi wa habari wanaweza kwenda kuwahoji wagonjwa wodi za SewaHaji ground floor.
Hapa ni mlango wa kutokea nje ya wodi
Juu: Hii ni korido inayounganisha wodi mbili
Baadhi ya wagonjwa walolala chini wakiwa hawana hata magodoro ya kulalia.
Baadhi ya wauguzi wakiendelea kutoa huduma katika mazingira magumu
Hapo ni mwaisela
Waandishi wa habari wanaweza kwenda kuwahoji wagonjwa wodi za SewaHaji ground floor.
Hapa ni mlango wa kutokea nje ya wodi
Juu: Hii ni korido inayounganisha wodi mbili
Baadhi ya wagonjwa walolala chini wakiwa hawana hata magodoro ya kulalia.
Baadhi ya wauguzi wakiendelea kutoa huduma katika mazingira magumu
Hapo ni mwaisela