Habari wanajamii wenzangu
Napenda kupata ushauri mara nyingi huwa inanitokea nakosa kabisa usingizi hadi usiku mwingi kuanzia saa 8 hivi kumetulia ndo vimbwangwa vinaanza napata usingizi wa ghafla alafu nakabwa na dude lisilojulikana nashindwa kufanya lolote nabaki nasali kimya kimya.
Baada ya...
Wakuu twende kwenye mada, hivi ukijiangalia kwenye kioo kikubwa usiku kwa muda mrefu ukiwa chumbani mwako ukiwa umezima taa je kuna madhara yoyote unaweza kuyapata kiroho?
Wanazengo tupeni maoni yenu.
Habari Wanabodi kuna ajali ya gari imetokea usiku wa kuamkia leo barabara kuu ya Kilwa eneo la Mkuranga kijiji cha Dundani ambapo semi la Dangote limegongana uso kwa uso na gari la Tanesco Mkuranga na kusababisha vifo kwa watu 4 sikufanikiwa kupata picha but poleni wafiwa na update zaidi atujulishe.
Wale wote tuliosoma Moshi Tech tupeane stori za miaka hiyo nakumbuka kuna Mwalimu alikuwa anaitwa Mpande ikifika saa 11 tayari yupo mabwenini anaamsha watu mchakamchaka alikuwa noma soma huyo mwalimu.
Pia kuna walimu kama Munuo na yule makamu mkuu wa shule ana upara fegi masaa 24 alikuwa ni...
Niende moja kwa moja kwenye mada. Nafanya kazi ya kawaida tu ila nipo bize sana na mambo yangu binafsi ila kwa kweli naweza kusema wake za watu wamekuwa rahisi sana siku hizi. Nina mahusiano na wake za watu 4 ambao hawajuani na kila mmoja namla kwa wakati wake, nyumba yangu ina geti na ninaishi...
Habari za leo wana jamvi,
Naomba msaada wa kitabibu nimepata ugonjwa wa zinaa nahisi ni gono maana usaa unatoka kwa wingi na pia nasikia maumivu makali wakati wa kujisaidia haja ndogo.
Nimepata ushauri na marafiki maana nimeona aibu kwenda hospital nikanunua dawa za fragil, doxy na cipro...
Nataka kujua sifa za mwanamke mrefu na mwembamba maana nawapenda sana wawapo sita kwa sita na pia sio wavivu wanajituma sana kama mwenye sifa za ziada tuchangie kidogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.