Nawapenda nyote, na ninawasalimu pia!!!
katika soma soma ya habari wapendwa kuna habari na picha nimekutana nazo zimenitoa machozi, nimesikitika sana, na nimeumia sana, sijui wewe mwenzangu ndio maana nimeamua tuone pamoja!!
chakusikitisha zaidi wameunguzwa na wazazi wao wenyewe!, wala si...
Asalam aleikum!!!
Bwana Yesu asifiwe!!
Nimesoma thread ya Lizy kuhusu unyanyasaji wa watoto ikanikumbusha mbali sana, hakika imenitoa machozi!!
Nakumbuka miaka ya nyuma sana wakati nikiwa na miaka 4 tu, mama yangu alifariki kwa ugonjwa wa cancer, hatukukaa hata mwaka baba naye alifariki na...
Wananikera sana wanaojifanya watetezi wa haki za watoto. Haki ya mtoto hapa iko wapi??............... akikojoa kitandani
anachapwa, ila mtu mzima akitaka kukojoa, anapigwa mabusu motomoto, Mwaaaa swty, mwaaaaaa honey, mwaaaaa darling!!!!! "kojoa dear"
Anakumbatiwa na kuambiwa mmh...
najua wk end hii wapo walio umizwa na wapenzi wao kwahiyo wamevunjika moyo... mie nakupa hiii .......mwaaaaaaaaaaaaaaaa
kwa wale walio fiwa na wapendwa wao wamekosa mfariji, Mungu awe mfariji wako na pokea hili ............... mwaaaaaaaaaaaaaa
wanawake wote wapenda maendeleo...
Wakiwa kitandani kwa mara ya kwanza Bibi harusi alimwambia bwana harusi Honey unajua mimi bado bikra kwahiyo sijui chochote kuhusu mahaba/mapenzi. Unaweza kunielezea nini chakufanya kwa mara ya kwanza?Sawa Honey ni jambo rahisi sana akajibu bwana harusi. Sasa ni hivi hizo sehemu zako za...
Kwa habari nyepesi nyepesi nimesikia eti nanihiiiiiiii!!! Mkwere ataenda kufungua jiwe la shule ya msingi loliondo hivi karibuni.
Hivyo basi serikali imetoa tamko kuwa watu wasiende tena kwa babu, mpaka walioko kule warudi, hapa mie sielewi jamani!!
wana JF, hembu tuambiane ukweli, kwani...
Zilikuwa ni habari za uvuguvugu nilizokuwa nazisikia bila kuamini, ila jana alithibitisha mwenyewe pale alipouulizwa na mtangazaji Rita wa Praise power pale Diamond Jubilee kama ni kweli ameokoka au lah!! Vick alijibu hivi " Yes!! nampenda Yesu"
kuthibitisha hayo aliimba kibao chake...
Nawasalimuni nyote ndugu zangu!!
All about Ave ni tamthilia ambayo hurushwa na star tv, imejaa visa, mapenzi na usaliti!! imeigizwa na wasanii mahiri na kila mmoja akiicheza vema sehemu yake tofauti na waigizaji wetu wa hapa nchini.
Napenda niwalete kwako Nicole na Erica, wamenipa changamoto...
Ndugu wa Tanzania wote!!
Baada ya mgao wa umeme sasa ni mgao wa mabomu, ulianzia mbagala, na sasa Gongolamboto imefuaata, itakuja mabibo farasi, utafika upanga, utapita utaenda mpk Mwenge pale mlalakuwa, halafu utaruka mpaka Kigamboni nevy!! kule utateketeza kila kitu ili iwe rahisi kujenga mji...
Wapendwa nawasalimu!!
Ninatumai kila mtu ana sifa za ama mke au mume anayemtaka, rafiki zangu wa JF, napenda sana nipate mume mwenye vigezo hivyo hapo nilivyovitaja lakini kila siku imekua kinyume kabisa na matarajio yangu.
1. Awe Mkirsto
2. awe mweupe
3. awe na feature ya maisha, kwani...
Nawapenda nyoteeeeeee wana JF
nilikuwa naomba kusaidiwa je nivituo gani vizuri ambavyo naweza kumpeleka mdg wangu akasome kidato cha tano na sita kwa mwaka mmoja? namaanisha kituo ambacho hakina mizengwe na chenye walimu wazuri,
help!!
Nawasalimuni nyote!!
Wapendwa nina zaidi ya miaka nane nina kipele kidogo sana mfano wa chunusi ambacho mpaka nijishike mwenyewe ndio nijue kama kuna kipele. Kipele hicho nimekaanacho takribani ss miaka 8, hapo awali sikudhani kama ni shida na niliona ni hali tu ya kawaida, ila kwa ss nasikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.