Susy
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 1,431
- 221
Ndugu wa Tanzania wote!!
Baada ya mgao wa umeme sasa ni mgao wa mabomu, ulianzia mbagala, na sasa Gongolamboto imefuaata, itakuja mabibo farasi, utafika upanga, utapita utaenda mpk Mwenge pale mlalakuwa, halafu utaruka mpaka Kigamboni nevy!! kule utateketeza kila kitu ili iwe rahisi kujenga mji mpya, hapo ndipo utakaporudi mpaka pale uhasibu! wakati huo wakazi wa mbagala watakuwa wameshasahau kidogo, kisha utamalizikia pale External kambi ya jeshi ukiunganisha na zile Gas za Songas pale Ubungo ikipokelewa na Tanesco pale pale Ubungo bila kusahau kile kituo cha mafuta kilichopo opp na Songas.
Hapo ubungo itakua flati kama mji wa Sodoma na Gomora ulivyochomwa moto.
Ratiba inaonyesha mgao ukiisha Dar es Salaam utaanza na mikoani haraka iwezekanavyo!!
Baada ya mgao wa umeme sasa ni mgao wa mabomu, ulianzia mbagala, na sasa Gongolamboto imefuaata, itakuja mabibo farasi, utafika upanga, utapita utaenda mpk Mwenge pale mlalakuwa, halafu utaruka mpaka Kigamboni nevy!! kule utateketeza kila kitu ili iwe rahisi kujenga mji mpya, hapo ndipo utakaporudi mpaka pale uhasibu! wakati huo wakazi wa mbagala watakuwa wameshasahau kidogo, kisha utamalizikia pale External kambi ya jeshi ukiunganisha na zile Gas za Songas pale Ubungo ikipokelewa na Tanesco pale pale Ubungo bila kusahau kile kituo cha mafuta kilichopo opp na Songas.
Hapo ubungo itakua flati kama mji wa Sodoma na Gomora ulivyochomwa moto.
Ratiba inaonyesha mgao ukiisha Dar es Salaam utaanza na mikoani haraka iwezekanavyo!!