Susy
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 1,431
- 221
Nawapenda nyote, na ninawasalimu pia!!!
katika soma soma ya habari wapendwa kuna habari na picha nimekutana nazo zimenitoa machozi, nimesikitika sana, na nimeumia sana, sijui wewe mwenzangu ndio maana nimeamua tuone pamoja!!
chakusikitisha zaidi wameunguzwa na wazazi wao wenyewe!, wala si wazazi wa kambo bali wa kuwazaa kabisaa tena huyo mmoja ndio kamketisha mwanawe kwenye jiko la mkaa kama sufuria ya maharage.
unaamua kumchoma mwanao eti kwa sababu kala ubwabwa bila idhini yako je hii ni haki??
ukatili huu kwa watoto utaisha lini jamani!! Mapenzi kwa watoto wetu yakowapi??
katika soma soma ya habari wapendwa kuna habari na picha nimekutana nazo zimenitoa machozi, nimesikitika sana, na nimeumia sana, sijui wewe mwenzangu ndio maana nimeamua tuone pamoja!!
chakusikitisha zaidi wameunguzwa na wazazi wao wenyewe!, wala si wazazi wa kambo bali wa kuwazaa kabisaa tena huyo mmoja ndio kamketisha mwanawe kwenye jiko la mkaa kama sufuria ya maharage.
unaamua kumchoma mwanao eti kwa sababu kala ubwabwa bila idhini yako je hii ni haki??
ukatili huu kwa watoto utaisha lini jamani!! Mapenzi kwa watoto wetu yakowapi??