Susy
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 1,431
- 221
Nawasalimuni nyote!!
Wapendwa nina zaidi ya miaka nane nina kipele kidogo sana mfano wa chunusi ambacho mpaka nijishike mwenyewe ndio nijue kama kuna kipele. Kipele hicho nimekaanacho takribani ss miaka 8, hapo awali sikudhani kama ni shida na niliona ni hali tu ya kawaida, ila kwa ss nasikia kama kinavuta, nimekwenda hospitali nimepewa dawa mbali mbali, mpk ss nimechoka maana kila niikieenda hospitali mpaka nimtanulie dr. anitie vidole naye aangalie.
Naombeni msaada wenu.
Wapendwa nina zaidi ya miaka nane nina kipele kidogo sana mfano wa chunusi ambacho mpaka nijishike mwenyewe ndio nijue kama kuna kipele. Kipele hicho nimekaanacho takribani ss miaka 8, hapo awali sikudhani kama ni shida na niliona ni hali tu ya kawaida, ila kwa ss nasikia kama kinavuta, nimekwenda hospitali nimepewa dawa mbali mbali, mpk ss nimechoka maana kila niikieenda hospitali mpaka nimtanulie dr. anitie vidole naye aangalie.
Naombeni msaada wenu.