Kuna mda ndoa inakuwa na majukumu mengi mpka sex inakuwa ni kero, kwa mfano kwa mwanaume unadaiwa kodi, ada watoto nabado kazi haziendi vzr madeni kila kona unadhani hapo utakumbuka sex..?
Hapo unaweza kaa hata mwezi na uko freshi tu huna nyege, nyege zinakuja kurudi pale mishono imepungua...
Watu wengi watabeza sana hii kitu, lkn hao watu warohoni haijalishi wako upande wa Nuru au giza wanaweza wakuona vitu kama hivi so hii tyr ni taa nyekundu kwa alietabiriwa..
Hata biblia yenyewe imethibitisha hili kwa kisema...
Mhubiri 9:16
[16]Ndipo niliposema, Bora hekima kuliko nguvu; walakini hekima ya maskini hudharauliwa, wala maneno yake hayasikilizwi.
Kwenye uzi kama huu ndio utajua jinsi gani watu ni wachawi!! Huo mnaofanya ni uchawi kbsa hakuna tofauti na anyeenda kwa mganga kufanya tambiko lkn mkiwa huku mtandaon mnabisha kuwa hakuna Mungu wakt nyie mnamiungu.
.
Ashukuliwe Yesu siguswi na mizim wala miungu ya kafara.. um free as wind..
Um a trader. Nachoweza kukushauri ni kuwa knowledge yako kuhus trade(forex) ni ndogo san so kabla hujaendelea mbele rudi upya darasan, tafuta mentor wa uwakika akufundishe soko na zingatia hutojua forex kwa kui_google.... Ni hayo tu.
Ila watanzania bn..😁😁 eti hivyo hivyo ulivyo unasema unaafya njema?😅 Haya kama una afya njema kwann unaomba msaada??
.
Kwakifupi wew nigonjwa kama wagonjwa wengne tu so fuata ushauri kama walivyosema hapo juu, fanya mazoezi, kunywa maji mengi, kula vyakula vzr na matumda kwa wing lkn...
Kiukwel hapo bado upo vzr, biashara nzuri ni ile yenye mzunguko mzuri na sio faida kubwa. Wafanya biashara wengi wanafanya biashara zenye faida ndogo sana lkn wanachojali ni mzunguko mkubwa kwaiyo nakushauri kaa chini jiulize ni vitu gani uvipunguze ili uweze kuongeza faida kwenye biashara yako...
Acha kumpotosha mwenzio... Kikubwa hapo mtoa mada ushajua tabia yake na ushajua kuwa hana mapenz na ww bali anapenda ulichonacho, kuingia naye kwenye ndoa tegemea kuja kufanyiwa mabaya makubwa zaid ya aliyokufanyia hapo mwanzo...
Yani kuna mambo meng hapa nayaona juu yako sipati jibu. Najaribu kufikir umri wako ni miaka mingap? Maana kwa akili hizo za kukremisha ulizonazo ni halali mwanamke akushinde...
.
Pili ulioa malaya unakuja kusema kuwa wanawake wote wapo hivyo...
.
Niishie kukupa pole tu, hakuna namna ingia "kataa...
Ifike mahali utumie utu kwanza kabla ya hisia. Unajua kiukwel kabisa furaha ya ndoa ni nyie wawili watoto ni baraka za ziada tu na wala sio sheria na ndio maana kuna watu ughaibuni wanaoana lkn wanakubaliana kabsa hatutapata watoto na wanaishi vzr kabisa na kwa amani.
Ushauri wangu;- pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.