Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 13,086
- 40,331
Mimi sitaweza kwakweli, miaka 14 bila kitu cha kufanya seriously??.. Labda kama ni ugonjwa maybe kapalarize au ulemavu nitavulimia ila sio tu kukaa bila kufanya kitu na ana nguvu zake anakula tu na kulalaIla wewe miaka 14 kuweza? Sio kwamba siku 2 tu ushaanza kumpelekesha Mzee wa watu?