Ushauri kuhusiana na masuala ya mizimu!

Kwenye uzi kama huu ndio utajua jinsi gani watu ni wachawi!! Huo mnaofanya ni uchawi kbsa hakuna tofauti na anyeenda kwa mganga kufanya tambiko lkn mkiwa huku mtandaon mnabisha kuwa hakuna Mungu wakt nyie mnamiungu.
.
Ashukuliwe Yesu siguswi na mizim wala miungu ya kafara.. um free as wind..
 
Running from your origin is craziness, they struggle seeking for the other power that doesn't belong to them

Hakuna msomi mpumbavu ndugu yangu hizo degree na masters ni makaratasi tu.

Degree au master ya uchumi inakusaidia nini kwenye maswala ya imani, stop being fool.


Aaahh ..
 
Nakazia hoja. Hawa jamaa weupe/wageni walipokuja, cha kwanza walihakikisha wamevunja-vunja, wamedhalilisha na kuifanya duni kabisa imani walioikuta tunayo na tunaiheshimu, kisha wakapandikiza mambo yao kwa manufaa yao hususan kurahisisha uchukuaji wa mali asili na kutufanya watulivu ili tutawalike kirahisi.
Sio kweli,shida mizimu yetu ilikuwa dhaifu kuliko Yao,kama mizimu yetu ilishindwa kutulinda dhidi ya uvamizi wa wakoloni huoni ilikuwa ni dhaifu na sio ya kuitegemea sana
 
Oneni hii kenge, Mungu alikuzaa wewe? Au ulizaliwa kupitia mama na baba ambao wakifa tunawaita mizimu ndugu zetu wa karibu, au wewe umebeba makamasi hapo kichwani ukisikia neno mizimu unapagawa unaona kama majini, mapepo
Hakuna konakona mnaomba mashetani hizo ni ibada za kishetani hao mnaowaomba hawadhuru wala kunufaisha chochote
 
Unajua maana ya hali,? Kabla sijakupinga au kukubalia basi niambie unaposema hali unamaanisha nini?
Yaani unajuaje hii ni hali na hii si hali au nikipimo gani kinachotumika kuijua hali?
Nikisema hali namanisha “state” of being mortal or immortal, its not an object or organ that you may see or touch.
 
Shukran mkuu,
• Kama ni ukoo wa kabila moja ni Sawa, maana Mizimu inaombwa hasa hasa makaburini( ya ukoo, kuyasafisha, kuchinja wanyama kwa ajili ya damu, baada ya hapo mtaludi nyumbani ) sehemu walipo kuwa wanaishi bibi na babu(kama walisha tangulia mbele za haki,).

• Mimi hii kazi kila misho wa mwaka lazima nifanye,

• Mizimu ni ulizi mkubbwa sana katika maisha wakikupenda na ni ngumu kuwatoa kupitia imani za kawaida.

• Faida niliyo iona kwenye Mizimu ni kwamba:-
(1) ukilala usiku wanakuletea njozi ya Maisha ya kesho yake itakuwaje katika harakati zako za utafutaji.
(2) wachawi watakuchukia sana maana hawezi kukuroga hata waungane, maana mchawi hawezi kuroga bila kuomba Mizimu husika ya ukoo wenu.
(3) mambo hunyooka kila utakacho gusa kwenye biashara kupata hasara ni mara chache sana.
Yah ni kweli
 
Back
Top Bottom