Wanawake hamna maajabu, tunatumia pesa nyingi bure!

Mimi kama kawaida, niko upande wa wanaume na katu siachi kuwasanua wanaume wenzangu juu ya utapeli wa kingono. Hakuna maajabu. Nimefanya tendo la ndoa na wanawake wengi nimegundua kuwa hakuna jipya, wanawake ni overrated. Ukimwaga ndio utajua hili ninalolisema.

Tunatumia pesa nyingi kuwinda sehemu za Siri za mwanamke ambazo hazina maajabu. Shitukeni wanaume, sex ni scarm hasa hizi sex za watu ambao si mume na mke.

Wakati nimeoa nilikuwa nanyandua sana na wife. Sasa siendekezi ngono, wife akitaka ninamnyandua niko fit kitandani, hata kuunganisha waya mbili naweza sana.

Sema sasa hivi pesa yangu hailiwi na Malaya, nokimpa Binti moyoni nasema namsaidia maskini na yeye kama atanipa sawa lakini Mimi nikimpa pesa nasema nampa mahitaji (maskini).
baki njia kuu,
mchepuko ni kukaribisha umaskini na hasara mfukoni mwako, uzinzi moyoni mwako zaidi sana magonjwa na chukizo machoni pa Mungu...
 
Mimi kama kawaida, niko upande wa wanaume na katu siachi kuwasanua wanaume wenzangu juu ya utapeli wa kingono. Hakuna maajabu. Nimefanya tendo la ndoa na wanawake wengi nimegundua kuwa hakuna jipya, wanawake ni overrated. Ukimwaga ndio utajua hili ninalolisema.

Tunatumia pesa nyingi kuwinda sehemu za Siri za mwanamke ambazo hazina maajabu. Shitukeni wanaume, sex ni scarm hasa hizi sex za watu ambao si mume na mke.

Wakati nimeoa nilikuwa nanyandua sana na wife. Sasa siendekezi ngono, wife akitaka ninamnyandua niko fit kitandani, hata kuunganisha waya mbili naweza sana.

Sema sasa hivi pesa yangu hailiwi na Malaya, nokimpa Binti moyoni nasema namsaidia maskini na yeye kama atanipa sawa lakini Mimi nikimpa pesa nasema nampa mahitaji (maskini).
Sema wewe umechelewa sana kugundua hili. Mimi nalifahamu hili toka miaka ya 1990s.
 
Sasa ulitaka kitu gani ambacho kisicho cha kawaida wakati wote tumeumbwa na Mungu yule yule?

Wanaume kwa kujikweza na kujiona muhimu!!!!!!!
 
Hujawahi pata upwiru sheikh, ukitaka ujue ni overrated au sio overated ngoja upigwe na maisha huna hela umecharara hata nguo ulizonazo zimepauka ndevu zimecover uso wote huna tumaini uso umekosa Nuru na upwiru wa miezi sita kila unapojaribu kuomba hadi pisi mbovu inakukazia
Yaani huyo ni mimi mtupu wakati huu ndio ninachopitia, lakini sitobaka mtu mpaka nipate mtu ambae nitakwenda kumpelekea moto mpaka turipike wote
 
Yani mimi nimetumiwa saivi haujaimiss kiclip Vyu wansi hapa nmemwambia Bolt amfate kibaha Mathias amlete mikocheni nitalipa
 
Tatizo haina mbadala.
Ile experience huwezi kuipata kwa nyeto hata iweje.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom