Search results

  1. Omukitwe

    Nina imani barabara ya mbezi mwisho-mpigi magoe-bunju itajengwa mwaka 2017/2018

    Ni baada ya kuwekwa kwenye kila bajeti toka mwaka 2013/2014 hadi mwaka 2016/2017 pasipo mafanikio. Nina imani sasa hii barabara siyo kwamba itaegeshwa tena kama miaka mingine iliyopita. Ni barabara mbovu sana inayofanya magari kupelekwa gereji mara kwa mara. Naomba kama kuna mtu amehusika...
  2. Omukitwe

    Clouds wanapotumia taarifa ya bbc na kujifanya wameitafuta wenyewe.

    Story ya mbuzi wa dar kuzurula na kuvuka wenyewe kwenye zebra imeandaliwa na bbc na kurushwa na bbc asubuhi ya leo tarehe 13/04/2017. Lakini kwenye amplifaya ya clouds na huyu dada plus milard ayo wanatoa hii habari na kudanganya kuwa kuna ripota wao ndo kaandaa hii habari wakati ni yule wa bbc...
  3. Omukitwe

    Kuna sababu gani za kulaza magari ya mwendokasi Jangwani badala ya Kimara?

    Naomba wahusika wanisaidie. Ni sababu zipi zinazosababisha mabasi ya mwendo kasi kutokulala kwenye vituo pale yanapotakiwa kuanzia safari? Watu wanasubiria magari kimara mwisho alafu yanakuja yamejaa tayari. Hapa sijaelewa kwanini kulala Jangwani na si Kimara??
  4. Omukitwe

    Kuna sababu gani za kulaza magari ya mwendokasi Jangwani badala ya Kimara?

    Naomba wahusika wanisaidie, Ni sababu zipi zinazosababisha mabasi ya mwendokasi kutokulala kwenye vituo pale yanapotakiwa kuanzia safari? Watu wanasubiria magari Kimara Mwisho alafu yanakuja yamejaa tayari. Hapa sijaelewa kwanini kulala Jangwani na si Kimara.
  5. Omukitwe

    Ufafanuzi wa barabara ya itakayojengwa kutoka pugu hadi bunju kupitia mbezi mwisho-mpiji magoe.

    Naomba kama kuna mtu ana access plan ya hii barabara anisaidie. Je hii barabara itakayojengwa kuanzia pugu kwenda bunju kupitia mbezi mwisho itapita barabara zipi kati ya hizi mbili?? Ile iliyopo pale kwa Yusuph kupitia mbezi high school au ile inayokwenda na ile iendayo goba ikachepuka pale...
  6. Omukitwe

    Mh Waziri wa Ujenzi naomba barabara ya morogoro ipewe kipaumbele maalamu bajeti ya 2017/2018

    Barabara ya morogoro ni kiungo muhimu sana kwa magari yanayotoka na kuingia katika jiji la dar es salaam. Lakini hii imekuwa ni barabara yenye foleni kubwa hasa eneo la kibamba mpaka kimara. Hili ni eneo sugu ambalo linahitaji upanuzi wa barabara na si kupanua tu njia ya miinuko. Barabara hii...
  7. Omukitwe

    Kwa hili bodi ya mikopo ya elimu ya juu siwaungi mkono kabisa

    Nimesoma gazeti la habari leo la leo tarehe 16/11/2016 mkurugenzi wa bodi ya mikopo anasema kuna watu wa kozi za vipaumbele wamenyimwa mikopo kwa sababu wazazi wao wana uwezo. Je wamepita kwa wazazi wao kuthibitisha hili wanalolisema au kigezo cha uwezo wa mzazi ni mtoto wake kusoma o level...
  8. Omukitwe

    Ufafanuzi juu ya barabara ya pete Pugu-Kifuru-Mbezi-Mpigi majohe-Bunju (33.7km)

    Nimenukuu maneno yaliyopo kwenye bageti ya wizara ya ujenzi ya mwaka 2015/2016 iliyoandaliwa na rais wa sasa ambaye alikuwa waziri wa ujenzi. Naomba kujua mambo yafuatayo: 1. Alimaanisha nini aliposema barabara ya Pete? 2. Kwa wenyeji wa Dar es Salaam na wanaoijua vizuri ramani ya Dar naomba...
  9. Omukitwe

    Serikali iweke kwenye budget barabara ya mbezi mwisho kwa yusufu mpaka bunju kupitia mpigi magohe

    Hii barabara kwa kweli ni kero mpaka basi. Mvua ikinyesha ndo usiseme, daladala wanashindwa kwenda mpigi magohe kisa utelezi, na hii inasababisha nauli kupanda mpaka elfu 1 na mia 5 kutoka shilingi mia 5. Kwa kuwa hii barabara iko chini ya tanroad, basi tunaomba serikali iiweke kwenye budget...
  10. Omukitwe

    Serikali ina mpango gani kwa barabara ya Morogoro kuanzia Kimara mwisho mpaka Mbezi mwisho?

    Najiuliza hata sipati jibu. Ni nani aliplan barabara ya mwendo kasi iishie kimara mwisho na si mbezi mwisho? Hapo ndo nakosa jibu kabisa. Hii barabara ya morogoro ni barabara pekee inayopeleka magari mengi sana ikiwemo mabasi, maroli, na magari ya watu binafsi yanayoenda na kutoka mikoani na...
  11. Omukitwe

    Kuwanyima mikopo madaktari mwaka wa kwanza kwa kigezo cha kusoma private o level ni ubabaishaji

    Hivi serikali kuwanyima mkopo mwaka wa kwanza madaktari watarajiwa ambao wanagusa moja kwa moja maisha ya wananchi ina maana gani? Haiwezekani serikali itumie kigezo cha o level kuwanyima hawa vijana mikopo. Kijana kusoma o level private haina maana kuwa huyo mzazi ni tajiri. Maisha yanapanda...
  12. Omukitwe

    Msaada: Barabara kutoka mbezi mwisho kupitia mpigi magoe mpaka Bunju

    Naomba msaada wa kujua juu ya barabara inayoanzia mbezi mwisho kwa yusufu kupita mbezi high school mpaka mpigi magoe mpaka bunju. Hivi hii barabara serikali kweli ina mpango nayo kuijenga kiwango cha lami? Kwa maana mimi naiona hii barabara kwamba ni msaada mkubwa kwa watu wa Mbezi, kibamba...
  13. Omukitwe

    Msaada kutoka kwa Nurses wanaofanya kazi halmashauri katika vituo, zahanati au hospital zake.

    Mimi najua mfanyakazi ambaye ameajiriwa na serikali hasa katika ngazi ya halmashauri masaa ya kufanya kazi ni manane. Lakini katika kada ya uuguzi na kada nyingine ambazo zina night shift siyo rahisi kufanya masaa manane tu hasa kwa usiku. Nahitaji kujikita kwenye kada ya uuguzi, na ninaomba...
  14. Omukitwe

    Msaada juu ya ukuaji wa mtoto

    Naomba msaada kuhusu kutambaa kwa mtoto. Mtoto wangu ni wa kike ana miezi tisa lakini bado anajivuta kwa tumbo. Sasa hivi ndo naona anashika kwenye kiti au meza anasimama mwenyewe. Je ni muda gani sahihi kwa mtoto awe ameshaanza kutembea?
  15. Omukitwe

    Msaada wa jinsi ya kujua simu feki na original kwa maelekezo ya TCRA

    Naomba msaada wenu njia za kufuataa ilo kujua simu feki na original.
  16. Omukitwe

    Kuhusu Saida Karoli mama wa Chambua kama karanga

    Wapendwa naomba kujua habari za Saida Karoli. Kwa sasa yuko wapi na kama bado anajihusisa na muziki? Naombeni pia mwenye namba yake anipm kwa maana mbali na kujua hayo nayouliza hapo juu nilipenda nifanye nae biashara. Naomba msaada wenu.
Back
Top Bottom