Wakuu naomba mwenye kujua app ya android itakayoniwezesha ku lock torch ya simu ili kuzuia tochi hiyo kuwaka kwa bahati mbaya (mara nyingi hutokea wakati simu ikiwa sikioni )
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi wetu tutakua tunamfahamu au kumsikia Marehemu Oscar Kambona japo najua kuna wachache ndio watakua wanamsikia leo, huyu ni miongoni mwa watu watu wa awali kabisa kutofauriana na 'mwalimu' kutokana na kupingana na azimio la Arusha.
Tofauti hizo zilisababisha Oscar Kambona kukimbilia...
Nimekua nikitizama movie series za kimarekani (mathalani ukichukulia mfano movie kama 24 ya Kieffer Sutherland almaarufu Jack Bauer, au Shooter ya Bob Lee Swagger).
Unakuta kuna kikundi flani cha raia ambao wanakua wamepewa mafunzo ya kijeshi na wanakodiwa kwa ajili ya kutimiza mission tofauti...
Naomba mwenye kujua historia ya watu niliowasoma kwenye maandiko ya kale kama wafilisti, je ndio wa palestina wa leo au?
Pia ningependa kujua wale wafarisayo na wasadukayo ndio watu gani katika hii dunia tuliyopo leo?
Mwenye ufahamu anisaidie ufafanuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukifuatilia hii michezo ya kamari mathalani hizi za mitaani utaona kua hakuna uzalishaji wa aina yoyote isipokua kuhamisha pesa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine, je kiuchumi kamari pamoja na michezo ya ku bet ina faida na hasara gani? Wadau naomba tujadili.
Hivi TFF itaendelea kufuga hizi aibu na fedheha mpaka lini? Kwa mfano jana kuna mechi moja ya ligi kuu ilichezwa na hapakuwa na kibao cha kufanyia mabadiliko zaidi ya kutumia makaratasi ya kawaida. Jamani hili limekaaje? Na je kile kibao ni cha gharama kiasi gani? Naomba michango yenu wanajamii...
Nina simu aina ya sony ericsson w595 inatumia files zenye jar format. Tatizo kubwa linalonikabili ni kwamba kila nikitumia opera mini (4 au 5) inafikia kipindi hiyo opera inagoma kufanya kazi mpaka niinstall tena nyingine ambayo pia inaweza kunigomea kufunguka. Hivyo basi nilikuwa naomba msaada...
Ningependa kufahamu kuhusu huyu zomba je ni zombie(msukule) au? Maana mawazo anayochangia sijui yanatoka sayari gani kiasi kwamba napata wasiwasi kama huyu kiumbe anaishi duniani ama Tanzania. Naombeni msaada wenu wa mawazo tafadhali.
Kuanzia awamu ya kwanza ya Mwalimu Julius Nyerere aliyeiongoza nchi toka mwaka 1961 ilipopata uhuru hadi 1986, Rais Ali Hassan Mwinyi (1986-1995), Rais Benjamin Mkapa (1995-2005) na Rais Jakaya Kikwete (2005-hadi sasa), kumeibuka kashfa mbalimbali, saba zikiwa kubwa na kulitikisa taifa.
Kashfa...
nadhani huu ndio muda muafaka kwako jk kuicheza karata yako dume mapema kuimarisha ngome yako kwa kutekeleza sasa ahadi zako kama vile mameli, machinga complex, viwanja vya ndege, madaraja, reli ya kisasa, kubadili kigoma kuwa kama dubai, viwanda tanga na ahadi kemkem nyinginezo ulizoahidi.
Eti wadau kama rais Jakaya Kikwete asipeleke majeshi yake kule Ivory Coast ili kumtoa madarakani rais Laurent Gbagbo aliyeng'ang'ania madarakani kama alivyoyaongoza majeshi ya Tz kwenda kumuondoa mtawala wa Comoro kipindi kile?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.