Wadau mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenye nauza nyumba yangu ambayo iko kwenye stage ya kupauliwa ukubwa wa kiwanja ni 20X34 iko juu mlimani kidogo bei inaanzia 24.5mil
unaweza nipigia 0754432409
Wanajamvi hivi kwanini tupange foleni ya kuandikisha vitambulisho wakati watu wa sensa watapita kila nyumba kumuhesabu mtu na kuchukua baadhi ya maelezo kwanini form hizo zisiwe ndio za NIDA. badala ya kutumia fedha kibao kwa kazi mara mbili au hao NIDA wahesabu na watu moja kwa moja?
nawakilisha
Nauza nyumba Mbz Msakuzi haijapailiwa ina vyumba 3,kimoja master,jiko, choo,sitting na uwanja wake ni 20x34 bei inaanzia 20Mil.
seriuos buyer can contact fmx6@yahoo.com
Waungwana salaam,
Bw Bwire Mugeta
Alikopa fedha jumla ya 470,000/= na alihaidi kulipa ndani ya siku saba lakini hadi leo hajafanya hivyo, huyu jamaa amekuwa sio mstarabu fedha hizi alikopa mkoani shinyanga 28/01/2010 akiwa kama mfanyakazi wa UNV-UNDP kama NUNV SPECIALIST.SASA kwa sababu...
Huwezi kujivungua gamba kama sio mbinafsi na hii inadhihirika kwenye wabunge wa magamba kukatalia posho wakati watoto wa maskini wanakaa chini baada ya miaka 50 ya uhuru.
Na Mwandishi Wetu, Thehabari, Maswa
MBUNGE wa Jimbo la Maswa Magharibi (CHADEMA), John Shibuda amesema CCM ina uchakavu wa fikra na anguko la vitendo linalowatafuna viongozi wake hivyo kushindwa kutambua hisia za wananchi.
Mbunge Shibuda akizungumza bungeni.
Kwamba viongozi hao wamesahau na...
Wandugu kuna ndugu yangu kaibiwa fedha zimechotwa kwenye account yake na kuwekwa kwenye account za watu wawili tofauti, Hili limetokea bank ya NMB halafu wahusika wa bank wamepewa taarifa lakini they take it serious not.WANA JAMVI NAOMBA MUONGOZO USHAHIDI NINAO WA KILA KITU....
----
----
----
Wanajamvi!
Nataka kufungua duka la dawa za binadamu naomba msaada jinsi ya kupata vibali maana nasikia kupata kibali ni ishu..rahisi kupata kibali cha kuuza kitimoto pakistan kuliko cha kuuza dawa tanzania.
nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.