Naomba mwenye cd ya ku unlock radio ya gari aina ya eclipse DVD/CD/AV/NAVI SYSTEM UCNV884mk II. Imelock baada ya kubadili betri ya gari hivyo inahitaji cd hiyo kwa ajili ya kuifungua
nawasilisha
Habarini wana jamvi
Nataka kuja Dar miongoni mwa mambo
yanayonileta huko ni kununua smartphone
original yenye Memory ya GB 8 na kuendelea
OS iwe android 4.1 version
camera 8pixes
Fedha nliyonayo shs 400,000 haizid hapo
sasa nnachowaomba munielekeze duka la smartphone original lakini bei nzuri...
Jamani wadau,
Natumaini mko poa
Embu nisaidieni kwa hili jambo. Wengi tunajua viongozi wetu wa serilaki hupenda kwenda katika Mikoa na wilaya kwa ajili ya kuwatembelea wananchi wao na kukagua miradi mbalimbali
Tatizo langu mimi huwa najiuliza hivi Rais, Waziri Mkuu, mawaziri n.k huwa hawana...
Aslam aleykum ma dokta wote wa humu ndani!
naomben ushauri wenu mke wangu amepata tatizo mwili hauna nguvu na anakuwa mchovu sana kapimwa na imeonekana damu imepungua ipo ml 8. Nn kinasababisha damu kupungua? Hosp. Gani naweza kupata matibabu ya kujua chanzo? Nn afanye damu iongezeke kwa...
Mtanzania mwenzetu, ndugu yetu, rafiki yetu na jamaa yetu alifarika huko marekani
anategemewa kusafirishwa kesho kutokea Marekani na hatimaye kupunzishwa huko
nyumbani kwao Moshi kijiji cha Mbokomu siku ya Alhamisi (05/01/2012).
Sisi tulimpenda ila MUNGU alimpenda zaidi
mungu ailaze peponi...
Kuna jamaa angu anaishi Iringa eti kanambia kuna fununua
ya kuwa Mtoto wa Jeikei kanunua stand ya miomboni
ya vidaladala na anajiandaa kuzuia kuoakia abiria ili
ajenge ghorofa hapo
Is it true? Jamaa zangu wa Ir kama mna info Mtujuze....
Ninajamaa angu anaishangaza sana, akiwa na kideti na demu huwa anavaa shanga zile za kimasai na moja ya cheni kiunoni, nikamuuliza anavaa ili iweje
Nanukuu ''Ukimpiga demu ukiwa umevaa shanga ataenda kumpa story shost
wake naye atajilengesha aje kujionea naye unammega'' Mwisho wa kunukuu
Ni...
Mimi mwananchi wa kawaida kabisa ninayeishi kijijini
Tatizo kubwa tulionalo ni umasikini tunaoishi nao
Tunategemea kilimo sana (kilimo ndio uti wa mgongo) I use to hear
Lakini ki ukweli tunataka kuacha kulima kwa sababu tumedharauliwa na kusahauliwa kabisa
Tumeshindwa kuacha kulima kwa...
Jamani nimeiona stars ikicheza na zambia kwa kweli
ilinisikitisha kwa kutokuwa na mpango mzuri wa mashambulizi
Kwa sasa naiangalia ikicheza na timu dhaifu ya Somali matatizo ni yale yale
tunakosa sana magoli ya wazi forward yetu haiko makini yaani butu kweli kweli hivi tumekuwaje?? Mbona...
Yaani kwa mtazamo wangu 90% ya waheshimiwa wanapigania kuingia bungeni kwa minajili ya kujipatia/kuboresha maisha yao binafsi, hawana nia ya dhati kulikomboa taifa letu na umasikini uliokithiri
Mfano leo sheria ikipitishwa kupunguza posho/maslahi ya waheshimiwa hao (m. 12 per month)...
Najiuliza hivi vichwa vikifanikiwa kuingia bungeni (vingine tayari) Bunge litakuaje
Kichwa kama Tindu Lisu
Freman Mbowe
Halma Mdee
Myika
Thomas Nyimbo
Lema
na babu mrema na vingine kibao....
Huyo spika mpya ajiandae!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.