Search results

  1. FarLeftist

    Chama na serikali, serikali ya chama au chama ni serikali na serikali ni chama

    Inawazekana vipi chama kutua maamuzi ambayo yanareflect moja kwa moja shughuli za serikali? je kuna umbwe wa uongozi mpaka kupelekea chama kutoa maamuzi badala ya serikali, mfano mzuri swala la mafuta chama kinapata wapi nguvu ya kikatiba kupunguza bei za mafuta?(japokuwa si jambo baya...
  2. FarLeftist

    Qaddafi’s Son Paid Mariah Carey $1M To Sing Four Songs

    bofya hapa Mariah Carey Paid $1M To Perform For Qaddafi's Son | News One
  3. FarLeftist

    after new discovery, can peace ever reign in Somalia?

    Museveni brother’s Saracen security company may be training militia in Somalia Posted by Nasongo Willy on December 16, 2010 Kampala (Alshahid) -Saracen International, a security company associated with Uganda’s Gen Caleb Akandwanaho, alias Salim Saleh, a senior advisor to President Yoweri...
  4. FarLeftist

    mambo ya Mnyika

  5. FarLeftist

    Maswali yanayoniumiza kichwa

    Tanzania kwa muda mrefu sasa tumekuwa tukisumbuka na swala zima la nishati ya umeme... kama tutakumbuka mgao umeanza takriban wiki moja tu baada ya kutangazwa matokeo ya Uraisi kwa nini muda hou? hapo hapo baada ya wiki mbili linakuja swala la dowans kushinda kesi dhidi ya tanesco na kutakiwa...
  6. FarLeftist

    Baraza la Mawaziri, sura mpya, uchakachuaji unaendelea

    Wadau jana kwenye hotuba Bungeni nilimsikia akisema kwamba ataunda baraza bila kujali vyama, je kuna dalili yoyote akachagua mawaziri kutoka vyama vingine? hii itakuaje na msimamo wetu CHADEMA uko wazi tayari..
  7. FarLeftist

    Obama na Israel

    Is this is a sick joke? While visiting Israel in March, Joe Biden, the US vice president, delivered a speech that delighted the Israeli Right and its followers here. The key passage was this: "When it comes to Israel's security there can be no daylight - no daylight - between Israel and the...
  8. FarLeftist

    British High Commission on Chenge what's the next move for PCCB?

    Chenge case not yet closed,says UK Send to a friend Thursday, 11 November 2010 00:09 digg Andrew Change By The Citizen Reporter Dar es Salaam. It is too early to judge people implicated in the radar scandal because the issue has not been concluded in court, the British Government said...
  9. FarLeftist

    Bunge la viwango???

    Sitegemei kama tutaona Bunge lenye viwango vyovyote wakati huu, ni dhahiri kwamba kwa uteuzi huu wa "bora tukose wote" ni kuwapa nguvu tena mafisadi kujipanga upya baada ya kujeruhiwa vibaya, tukae tuone itakuaje lakini wengi wetu vichwani tunayo majibu tayari...
  10. FarLeftist

    Huu sasa ni usanii

    Kutokana na PCCB kuonyesha dhahiri wanamfanyia nani kazi na kwa njia zipi baada ya Waingereza kuweka mambo peupe, ni wakati muafaka wajitokeze tena na kuwaomba watanzania msamaha, baada ya hapo ipanguliwe upya..natoa hoja
  11. FarLeftist

    Jipatie sheria za Tz bure

    kwa wale wadau wenzangu wa sheria fuata link hapo chini ujipatie Legislations mbali mbali bure kabisa!! Legislation Tanzania (Lexadin) ukifanikiwa bonyeza kidude cha thanks!!
  12. FarLeftist

    Pata Sheria mbalimbali za Tanzania bure hapa!

    Legislation Tanzania (Lexadin) Parliament of Tanzania
  13. FarLeftist

    makandokando

    Wadau kuna mtu yoyote anafahamu maana ya hili neno 'makandokando' maana naona ni msamiati mpya na kwa kuwa umetumika kwenye maswala ya kisiasa nimeona niulize hapa na sio kwenye jukwaa la lugha.
  14. FarLeftist

    Elections 2010 Justice delayed is Justce denied akajibiwa Jusice hurried is justice Buried

    Yule mwndishi aliyejibiwa na mtu wa Tume ya Uchaguzi jana baada ya kuhoji kucheleweshwa kwa matokeo majimboni bila sababu za msingi, kweli inaonyesha hawa jamaa hawachagui majibu kulingana na maswali....
  15. FarLeftist

    Elections 2010 Uspika

    Jamani mpaka Mzee wa vijisenti nae anautaka? kweli wamefika pabaya
  16. FarLeftist

    Elections 2010 Najiuliza

    Wanaokishutumu CHADEMA kuwa ni chama cha undugu, inawezekanaje kuweza kukubalika Tanzania nzima? mf. kwa tathmini yangu ni kwamba wananchi wameweza kuchagua wabunge kutoka Mashariki - Dar(Ubungo,Kawe etc), Magharibi - Kigoma, Kusini - Mbeya, Iringa, Kaskazini - Kilimanjaro, Arusha, Kanda ya Ziwa...
  17. FarLeftist

    Elections 2010 Uchambuzi Yakinifu Kuhusu Matokeo ya Urais 2010

    Wadau naomba michango yenu juu ya hili swala, Hivi inawezekana vipi kwenye mkoa mmoja ukakuta CHADEMA imeshinda kata 12 kati ya 14 au imenyakua majimbo yote, wakati huo huo kwenye matokeo ya urais CCM ikaongoza wakifatiwa na CUF, Je kuna punguani yupi ambaye anaweza akapiga kura kuchagua...
  18. FarLeftist

    Elections 2010 Batilda kafanywa kitu mbaya!!

    CHADEMA imemfanya kitu mbaya Batilda, Pole mama...........
Back
Top Bottom