Huu sasa ni usanii

FarLeftist

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
363
20
Kutokana na PCCB kuonyesha dhahiri wanamfanyia nani kazi na kwa njia zipi baada ya Waingereza kuweka mambo peupe, ni wakati muafaka wajitokeze tena na kuwaomba watanzania msamaha, baada ya hapo ipanguliwe upya..natoa hoja
 
Back
Top Bottom