FarLeftist
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 363
- 20
Sitegemei kama tutaona Bunge lenye viwango vyovyote wakati huu, ni dhahiri kwamba kwa uteuzi huu wa "bora tukose wote" ni kuwapa nguvu tena mafisadi kujipanga upya baada ya kujeruhiwa vibaya, tukae tuone itakuaje lakini wengi wetu vichwani tunayo majibu tayari...