FarLeftist
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 363
- 20
Inawazekana vipi chama kutua maamuzi ambayo yanareflect moja kwa moja shughuli za serikali?
je kuna umbwe wa uongozi mpaka kupelekea chama kutoa maamuzi badala ya serikali, mfano mzuri swala la mafuta
chama kinapata wapi nguvu ya kikatiba kupunguza bei za mafuta?(japokuwa si jambo baya kujirekebisha baada ya kufanya madudu)
Haya ndio mambo ambayo wananchi hatutaki kusikia wala kuona, zama za chama kushika hatamu zilikwisha siku nyingi.
je kuna umbwe wa uongozi mpaka kupelekea chama kutoa maamuzi badala ya serikali, mfano mzuri swala la mafuta
chama kinapata wapi nguvu ya kikatiba kupunguza bei za mafuta?(japokuwa si jambo baya kujirekebisha baada ya kufanya madudu)
Haya ndio mambo ambayo wananchi hatutaki kusikia wala kuona, zama za chama kushika hatamu zilikwisha siku nyingi.