Mfumo wa ukodishaji wa wafanyakazi umeshika kasi sana hususani kwa makampuni Mengi makubwa hapa nchini, hili lipo sana sana kwa yale makampuni yaliyo na chimbuko la nje ya nchi.
Mfumo huu unaviashiria vya ukwepaji wa mambo fulani ikiwemo kodi kwa Serikali, utakatishaji wa fedha na kunyonga...
Ndugu wanajamii forum wenzangu, kutokana na mwenendo wa janga la corona duniani kwasasa njia mojawapo muhimu kuchukua wakati huu ni kuhamasishana zaidi namna ya kuvunja mianya ya usambaaji wa huu ugonjwa ambao kwasasa hata kwetu hapa Tanzania tunao.
Njia kubwa na Muhimu kwasasa ni kuvunja namna...
Tatizo la ajira nchini ni Kubwa japo jitihada za serikali ni kubwa katika kulipunguza hili tatizo, Inasikitisha Kuona Baadhi ya watanzania wenzetu wameamua kuzifanya baadhi ya ajira kama kitu cha kujinufaishia wao wachache Huku wakiumiza watanzania wenzao wachache, Naomba Mhe Rais na watendaji...
Zipo changamoto nyingi ambazo nchi zetu hizi masikini tunakabiliana nazo Kilasiku, kiukweli ni jukumu la kila anayeishi Tanzania Kushiriki Kuzitokomeza, kwani hii ni kwaajiri yetu wenyewe tuliopo hapa na kwaajiri ya vizazi vyetu vijavyo, Kama wananchi wa Tanzania sisi ni kama machine wezeshi ya...
Pamoja na uwezo mzuri wa kusimamia serikali ambao mnajitahidi kuuonyesha, inabidi sasa mbadiliashe mbinu za siasa, maana siasa zenu zimejaa ulalamishi, na ukinzani tu wala hamuakisi kama ndio waendesha serikali mbadala, kwa zaidi ya miaka 10 tunazungumzia RICHMOND, EPA, BUZWAGI NK, Mambo ambayo...
MISSION GOOD HOPE TANZANIA 2025
Inawatangazia wahandisi wote waliohitimu na wanaotarajia kuhitimu katika fani mabalimbali za uhandisi kuwa tunajipanga kufanya ushindanishi wa matumizi ya ubunifu katika fani mbalimbali na ushindanisshi huu utakuwa ukirushwa live na TV mbali mbali za hapa nchini...
MISSION GOOD HOPE TANZANIA 2025
Inawatangazia wahandisi wote waliohitimu na wanaotarajia kuhitimu katika fani mabalimbali za uhandisi kuwa tunajipanga kufanya ushindanishi wa matumizi ya ubunifu katika fani mbalimbali na ushindanisshi huu utakuwa ukirushwa live na TV mbali mbali za hapa nchini...
MISSION GOOD HOPE TANZANIA 2025
Inawatangazia wahandisi wote waliohitimu na wanaotarajia kuhitimu katika fani mabalimbali za uhandisi kuwa tunajipanga kufanya ushindanishi wa matumizi ya ubunifu katika fani mbalimbali na ushindanisshi huu utakuwa ukirushwa live na TV mbali mbali za hapa nchini...
kumeibuka kundi kubwa la vijana wa ACT Mitaani wakipanga mashambulizi dhidi ya CHADEMA bila kujua mbaya wetu no 1 ni CCM acheni umburul.a wenu shambulieni CCM nasio CHAMA MAKINI CHADEMA, moto wenu unawakia wakombozi wa kweli, poleni msidumaze harakati za kweli za ushindi Dhidi ya maCCM.
Ndugu watanzania wenzangu, nashawishika kujitoa muhanga kama muhandisi mchanga niliyepatia taaluma hii ya uhandisi umeme katika vyuo vyetu hapa nchini, nilihitimu mafunzo ya awali katika fani ya umeme ngazi ya cheti(FTC) mwaka 2004, Baadae kuendelea na masomo katika fani hiyohiyo ya Umeme katika...
Umaarufu wa chadema unazidi kuporomoka Baada ya Kumtungia Tuhuma zisizo za kweli Mh zitto kabwe, lengo kuu lilikuwa ni kuhakikisha Hapati uwenyekiti na anapotea kisiasa kabisa, waasisi wa jambo hili ovu hawakujua kwamba wanaharibu Mzizi mkuu kabisa wa chama ambao kama ukikatika jumla utapelekea...
Naomba ni mshauri Tunda Aongeze bidii kwenye utunzi wa nyimbo za kuhuzunisha sana aachane kabisa na nyimbo za mapenzi kama ilivyokawaida ya bongo fleva,sauti yake inafaa sana akaimba nyimbo hizi zitamfanya afike mbali sana. kama ni msomaji wa jf basi ajaribu kuutumia ushauri huu utamsaidia.
Tuhuma za polisi kuhusika katika mashambulizi ya mabomu ya Arusha 15/june/2013, na uthibitisho wa Video alionao mh Mbowe mpaka leo bila kuudhihirishia umma ni nini Kilitokea ili sikunyingine watu wachukue tahadhali katika mikutano, na ili pia kurahisisha haki kutendeka, je! kuna ukweli wowote...
Uamuzi wa kumvua madaraka Mh zitto na Kitila, ni uamuzi mzito sana ambao chadema ilihitaji kuufikiria kwakina nakujiridhisha kwamba madai yote yanayoelekezwa kwa zitto hayana shaka yeyote. uamuzi huu unazusha maswali magumu sana ambayo chadema kinapaswa kujibu,maswali ni:
1.Uthibitisho wa...
Pamoja na ukweli kwamba Tanzania ya sasa inakabiliwa na changamoto nyingi katika Uchumi wake na sababu kuu ikiwa ni siasa yetu ya mdomoni tu na sio katika utendaji. bado hii sio sababu ya sisi raia wa Tanzania kuanza kumpinga Raisi wetu kwa kuegemea katika propaganda za wanasiasa ambao wanatumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.