habari,je una ngo? na unataka kupokea donations online ? kama jibu ni ndio basi umepata suluhisho.
ntakuwekea donation tab kwenye web yako ambapo utaweza pokea donations kutoka kwa site visitors.
wataweza donate via visa,mastercad,mpesa na tigopesa
call 0656313361 for more info
habari wanajf kuna hizi nafasi za andela ambazo huwa zinatoka kila mwaka ambapo mtu akiipata huwa anakuwa enroled kwenye andela learning comunity
baada ya miezi sita wanaofanya vizuri huwa wanakuwa interviewed na andela ,then ukipita unapewa ajira ambapo miezi sita unapewa tena mafunzo zaidi juu...
wakuu kuna nafasi zilitangazwa na ucc za ajira za muda msimu wa sabasaba
sharti ni kwamba uwe na mdhamini anayefanya kazi ucc au udsm. nimetafuta weeee nikakosa.
mwenye kufanya kazi ucc au udsm au kama unaweza kuniconnect na mtu anayefanya kazi hapo naomba anisaidie please dah kitaa kigumu dah...
habari wanjf nimeona sehemu kwamba kuna hii shule tanga ambayo ni nzuri
mwenye info zake please
je ina hostel na inapatikana tanga sehemu gani
na ada zake zikoje thanks in advance
wakuu tanesco wametangaza nafasi za kazi hapa wamemaanisha nin kwa kusema hivi
Specified Period Employment terms of Twelve Months Period
thanks in advance
Habari wana JF
Nauliza nafasi za kazi za kuandikisha wapiga kura kwa uchaguzi wa Serikali za mitaa wanatangaza lini na huwa zinatangazwa wapi
Thanks in advance
Habari wana JF naomba mnielezee haya maelezo kutoka bodi ya wahasibu na wakaguzi wa hesabu Tanzania
MODE OF PAYMENT
MAY EXAMINATIONS
NOVEMBER
EXAMINATIONS
Payment with 50% penalty
16th February – 28thFebruary
16th August
– 31st August
Payment with 100% penalty
1st March – 15th March
1st...
habari wanajf laptop yangu ina tatizo la sauti yaani haitoi sauti kuanzia kwenye spika hadi kwenye earphone
laptop yenyewe ni sony vaio. je nifanyeje
what is the possible solution?
thanks in advance
Habari wanajf natafuta kazi kama office attendant kwenye ofisi za serikali, mwenye connection naomba aniunganishe please
mwenye link ya nafasi husika naomba anipatie form four nina division one so kile kigezo cha pass in english swahili and mathematics ninacho maisha yamekuwa magumu mtaani...
hellow there karibu kwenye offer ya christmass
nadesign website for free kwa mashule,ngo,kampuni na wafanyibiashara etc
great experise in php,mysql,css,html
expect to get high quality website
faida za kuwa na website
office information will be accessed in 24 hour
easy advertising cost
your own...
Hellow JF experts,
Msimu wa kahawa umefika huku Lake zone nina access ya kupata kahawa kutoka kwa wakulima wa Kanda ya ziwa, i can be you coffee broker if you want to buy large amount of coffee for roasting and exporting.
Kwa wale ambao wako interested contact me 0656313361
Thanks in advance
do yo need to sell online?do you sell online and you need to reach more customers if yes then continue reading
i intergrate the website so that you can accept mobile payments ie mpesa,tigo pesa, airtel money on the web
contact me for more info or send me a pm 0656313361
Habari wana e commerce....
Mwenye kadi ya payoneer naomba anipe experience aliipata vipi maana nimeapply more than three times ila haikuwahi kufika hadi leo hii.........nshaongea na customer care wa payooner.....wanachonambia ni kwamba tutakutumia kadi nyingine.........but huwa...
online accounting software............
it has the following features
sales
accounts receivable
accounts payable
purchases
inventory
manufacturing
petty cash
asset manager
general ledger
all acivities can be handled online
see demo pics
contacts us 0654262419
habari,
naombeni kujuzwa kwa wale wanaojihusisha na online advertisements from google adsense and other affilate marketing networks...........njia gani mnatumia kupokea mkwanja
dont recommend me to go on google documentations because i need to get the answer from jf
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.