Ukishaingia kwenye utumishi wa serikali kutoka taasisi moja kwenda nyingine ni utatakiwa kuandika barua ya kuomba nafasi ya kuhamia taasisi unayoitaka na barua yako inatakiwa ipitie kwa Muajiri wako ambae ni Afisa Masuuli au Accounting Officer kwa kimombo.
Akienda kufanya hiyo interview hata...
Wakuu Saluti,
Ngoja niwape experience yangu ya Kilimo cha Mahindi Mkoa wa Ruvuma kwa Wilaya ya Mbinga.
1. Kukodi shamba 50,000 - 100,000 inategemea mahali na mahusiano na mwenye shamba.
2. Kulima kwa trekta 60,000, Kwa kutumia vibarua ni kadiri ya makubaliano lakini ni kuanzia 45,000 hadi...
Kitu nilichojifunza kwenye ujasilia mali na biashara kwa ujumla ni unatakiwa kufanya attempts kadhaa ndipo ufanikiwe.
Sasa inapotokea una mtaji wa ngama aiseee ni changamoto maana huo mtaji hauwezi kusurvive kwasababu hauna backup ya hicho unachokifanya.
Swali la msingi je wewe mwenyewe...
It's all abt passion.
Wewe kuna a motive behind ambayo inaku-stress ufanye hiyo hacking. After all unapaswa kuwa very smart unapotaka kuwa hacker. Sio kila mtu anaweza kuwa hacker. It takes a dedication and commitment kuwa hacker. Pia unapaswa kuwa na resources za kufanyia hizo hacking and it's...
Ni pale tu HR atakapokuingiza kwenye system ya makato. Yani HR wa taasisi husika ndio anayemuingiza mdaiwa kwenye mfumo wowote wa makato. Hivyo yeye akiuchuna hutakatwa. Kwa hiyo kuanza kukatwa itategemea ni lini HR amaekuingiza kwenye system hiyo. Japo wakigundulika hawajafanya hivyo na taarifa...
PAYE - Pay As You Earn.
Ukielewa hapo utaelewa nilichokiandika halafu wakati mwingine tumia muda wako kujifunza. Ungeenda hata ukurasa wa TRA kwenye hiyo PAYE calculator ungejifunza kitu.
Mwishoni nimeweka na NB. Ungeisoma kwa kwa utaratibu ungepata maarifa zaidi.
Wewe kama una salary slip...
Sio sahihi.
PAYE haikatwi kwenye basic salary. Inakatwa kwenye net ya kilichobaki baada ya makato mengineyo.
Usahihi ni huu hapa.
Kama yupo private:
NSSF = 10% X 1,040,000 = 104,000
Kama ni Public:
PSSF = 5% × 1,040,000 = 52,000
NHIF = 3% × 1,040,000 = 31,200
HESLB = 15% × 1,040,000 =...
Mkuu wewe endelea kudiasporika huko abroad sisi tupo na tunawatumikia huku ndugu zako Wamatengo na maisha yanaendelea.
Mdaka 5 kwasasa ndie Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Mbinga, Vijana wa kiume wawili wa Andoya ni madiwani wa CCM Halmashauri ya Mji wa Mbinga.
Na kwasasa kuna Halmashauri 2...
Mkuu mimi sijawahi na ndio maana nimejikita kuuliza wanafungwa gereza la jinsia ipi? Kama una maelezo ya ziada ungeyamwaga kwa faida ya wengine. Ila hiyo idea ya kuhamishwa na kuuliwa baada haijanishawishi maana katika hicho kipindi si watakua wanaendeleza hiyo tabia?
Kuna huyu Albino aaah nyie napata utu na utulivu. Mkisikia nimeingia kwenye mtego wa ndoa ni huyu albino ninae-mdate sasa hivi. I just find my heart and myself at peace. Na ni karembo haswaaaaa. Kama nimuweke jamvini. Nyie nyie nyie [emoji23][emoji23][emoji23]
Yani hofu iliyopo hakuna timu unaitazama inaweza kuifunga Yanga hata simba yenyewe labda itokee kudra tu.
Sasa kama wewe upo nafasi ya pili huna uwakika w kuifunga yanga unapata picha gani kwa waliobaki?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.