Ninachokiona mm umasikini ndio unasumbua wengi wanaoshabikia gari nikwasababu hawakuyakuta kwenye familia zao na walikuwa Kwa shida hivyo starehe walizotakiwa wazifanye wakiwa wanasoma huko za kubebea mademu,pombe wao wanawaza wakiwa wameanza maisha rasmi