Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,502
- 4,408
Eti Spika ndio kawekewa zuio la kuingia Marekani, kweli Museven kawashika pabaya wazungu
Ukimbinjua mdada je?Hakika Rais Museveni hatanii kabisa na GENTAMYCINE nampongeza kwa Kuisaini na namwomba Rais Samia ( wa Tanzania ) nae asaini kama imeshaandaliwa ili Mashoga ( Wapenzi wa Jinsia ) moja Wakamatwe na Wafungwe Kifungo cha Maisha kwani hali ni mbaya na idadi yao inaongezeka.
Cc: Kinengunengu
Sasa mkuu, huyu anaebinjuliwa atafungwa gereza la watu wenye jinsia gani? Maana naona kama ni shughuli ile ile huko aendapo kupumzika maisha.Hakika Rais Museveni hatanii kabisa na GENTAMYCINE nampongeza kwa Kuisaini na namwomba Rais Samia ( wa Tanzania ) nae asaini kama imeshaandaliwa ili Mashoga ( Wapenzi wa Jinsia ) moja Wakamatwe na Wafungwe Kifungo cha Maisha kwani hali ni mbaya na idadi yao inaongezeka.
Cc: Kinengunengu
Wapumbavu waleEti Spika ndio kawekewa zuio la kuingia Marekani, kweli Museven kawashika pabaya wazungu
Tanzania chupi chini. Taifa linaloogozwa na akili za kike usitegemee maendeleo na kupiga hatua.Uganda bravo! Mmejaribu kuweza.
Wanakupa uchungu Kakaa???Tanzania chupi chini. Taifa linaloogozwa na akili za kike usitegemee maendeleo na kupiga hatua.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
kama ulishawahi kuwatembelea au kujua hawa watu waliofungwa kifungo cha maisha huwa wanafanywa nini wala usingeuliza hilo.Sasa mkuu, huyu anaebinjuliwa atafungwa gereza la watu wenye jinsia gani? Maana naona kama ni shughuli ile ile huko aendapo kupumzika maisha.
Mkuu huo mwaka mwaka anaoishi anapelekwa gereza la watu wa jinsia ipi? Si watu wataendelea kujipigia mwaka mwaka kila gereza analohamishiwa?kama ulishawahi kuwatembelea au kujua hawa watu waliofungwa kifungo cha maisha huwa wanafanywa nini wala usingeuliza hilo.
hapo ni kwamba unafungwa kifungo cha maisha then unakuwa unaamishwa amishwa kwenye magereza toauti baada ya mwaka au miaka miwili unapigwa tu sumu au kitanzi then unazikwa na manispaa kama mzogo shughul yako inaishia hapo
ndo maana kabla ya kusema hayo nimekuuliza ulishawahi kutembelea wafungwa au kuwaona wafungwa walofungwa kifungo cha maisha jela?Mtaalam huo mwaka mwaka unaoishi unapelekwa gereza la watu wa jinsia ipi? Si watu wataendelea kujipigi pigia mwaka mwaka kila gereza analohamishiwa?
Mkuu mimi sijawahi na ndio maana nimejikita kuuliza wanafungwa gereza la jinsia ipi? Kama una maelezo ya ziada ungeyamwaga kwa faida ya wengine. Ila hiyo idea ya kuhamishwa na kuuliwa baada haijanishawishi maana katika hicho kipindi si watakua wanaendeleza hiyo tabia?ndo maana kabla ya kusema hayo nimekuuliza ulishawahi kutembelea wafungwa au kuwaona wafungwa walofungwa kifungo cha maisha jela?
Sasa kuna tofauti gani kati ya kumuingilia kinyume na maumbile mwanamke na kumfanyia uliwati mwanaume? Unapinga dhambi moja kisha unaikubali hapo hapo🫤🫤🫤Hii ikizuiwa nitakata Rufaa upesi mno.
Basi katika gereza hakuna wafungwa wenye ulinzi mkali kama wale wanaofungwa kifungo cha maisha au wale wanaosubiria adhabu ya kunyongwa.Mkuu mimi sijawahi na ndio maana nimejikita kuuliza wanafungwa gereza la jinsia ipi? Kama una maelezo ya ziada ungeyamwaga kwa faida ya wengine. Ila hiyo idea ya kuhamishwa na kuuliwa baada haijanishawishi maana katika hicho kipindi si watakua wanaendeleza hiyo tabia?