HP LCD monitor
Size: 47 cm (18.5 in) widescreen; diagonally measured
With VGA and Power cables
Price: 60,000/= Tshs
Location: Sinza Mori near Lufungila Bus Stop
Contact: 0752776793
Walikuwa na sauti za kuvutia na za kipekee, mwenye audio tafadhali anaweza kupandisha (ku-upload nyimbo husika)
Maunda Zorro - Nataka niwe wako
Vumilia (Vumi) - Tatizo umasikini
Weka orodha yako unayoikumbuka kipindi hicho na uliikubali kinoma...
1. Mama/baba aliyepokea kodi ya nyumba
2. Mfanyakazi wa taasisi/wizara ya serikali amepokea mshahara
3. Madalali/watu wa kati/wapiga dili kama issue imepiga tick
4. Mtu amepandishwa cheo
5. Ndezi/domo zege ameng'oa demu
6. Machinga ameuza sana kwa siku
7. Ametoka kwenye mafunzo ya JKT
8. Amevaa...
Nimeenda kijiweni siku moja baada ya kazi, nikaenda kubadilishana mawazo na kupoteza muda. Kuna jamaa alituambia hiyo story...nikabaki nacheka tu (Nashindwa kuiandika huenda yuko humu JF) kwa sababu atanijua. Nilicheka sana mpaka nikaenda home kuepusha ugomvi.
Niambie ya kwako..
Habari wadau,
Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi iliyo katika Manispaa ya Arusha, natafuta mwalimu wa kubadilishana nae kituo cha kazi aliye Dar es Salaam hasa Manispaa ya Temeke.
Kwa yeyote aliye tayari tuwasiliane kwa namba: 0653985124
Ahsanteni sana.
Leo tujikumbushe kidogo album ya mwanamuziki wa Kikongo Noel Ngiama Makanda maarufu kwa jina la Werrason iliyotoka mwaka 2001. Mpaka leo hii mi nazisikiliza sana bolingo kiukweli hazichoshi na huwa zinarudisha kumbukumbu enzi zile tukiwa wadogo. Katika Album hii nyimbo ninazozipenda sana ni...
Salaam wadau...
Ni muda mrefu nimekuwa nikiona wanafunzi wa elimu ya juu wakilalamika kuhusu pesa ya kujikim "boom" haitoshi. Pengine inatokana na matumizi makubwa na yasiyo na ulazima. Mara nyingi pesa imekuwa ikiwaishia kabla ya kipindi kilichopangwa, matokea yake wengi wao wamekuwa wakipata...
Salaam wadau!
Yapata miaka miwili sasa tangu nifungue mashtaka CMA dhidi ya kampuni fulani ya hapa jijini Dar (jina kapuni).
Kampuni ilisitisha mkataba wangu wa miaka 2 due to redunducy ambayo haikuspecify termination reason.
Madai yalisikilizwa na kampuni ilipoambiwa tufanye mediation...
Salaam wadau..
Ninaomba mwenye software zifuatazo anisaidie, ikiwezekana kama utakuwa na download link nipatie tafadhali (cracked/zipped)
1. Adobe Premiere Pro
2. Magic Bullet Suit
3. Bluff Tittler
4. Adobe Photoshop
5. Nyinginezo ambazo ni nzuri na muhimu katika video production sector
Salaam wadau...
Kutokana na ukosefu wa ajira kwa vijana hasa wahitimu wa kutoka vyuoni, nimeamua kujiajiri wakati nasubiri matokeo ya maombi ya kazi niliyotuma. Kuliko kupoteza muda kwa kusubiri kitu ambacho hakina uhakika (Gamble), nimeamua kufungua KIOSK cha kuwaungia wateja internet...
Salamu kwenu wakuu na poleni kwa majukumu ya kimaendeleo,
Kwa kuwa nilichelewa kuomba nafasi ya kuwa msimamizi kipindi kilichopita cha uandikishwaji wa wapiga kura kwa kutumia teknolojia ya BVR, ningependa kufahamu ni lini nafasi za kusimamia upigaji kura hapo Oktoba 25 zitatolewa na Tume ya...
Nakumbuka mwanzoni mwa miaka ya 2000 video nyingi za bongo fleva zilirekodiwa na list ya kampuni zifuatazo:
1. Royal production
2. Mwananchi videoz
3. African pictures
4. Benchmark
5. 2 eyez
6. G videoz
Kama unazikumbuka nyingine unaweza ongezea!
Sijui kama bado zina-exist?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.