Hukumu kucheleweshwa kutolewa, nichukue hatua zipi za kisheria?

Kranium

Senior Member
Oct 20, 2014
130
374
Salaam wadau!

Yapata miaka miwili sasa tangu nifungue mashtaka CMA dhidi ya kampuni fulani ya hapa jijini Dar (jina kapuni).

Kampuni ilisitisha mkataba wangu wa miaka 2 due to redunducy ambayo haikuspecify termination reason.

Madai yalisikilizwa na kampuni ilipoambiwa tufanye mediation ilikaidi hivyo kesi ikaendelea mpaka kufikia kwenye arbitration.

Kwa hio hukum imekuwa ikipigwa danadana tu toka mwezi wa pili mwaka huu mpaka leo hii....kila nikimuuliza wakili wangu kuhusu hukum itatolewa lini amekuwa akiniambia nivute subira coz hakim hatakiwi kuharakishwa nisubiri mpaka atakapoamua...nilishawahi kumfata hakim kumuuliza kwa nn hukum inachelewa akaniambia sababu kibao mara "ohh nilikuwa likizo" mara "ooh nilikua nafanya mitihani" na kuna kipindi aliniambia kuwa wakati yuko likizo faili langu lilipelekwa kwa hakim mwingine hivyo tangu arejee toka likizo hajalipata hivyo akasema nimpe muda alifuatilie akanihakikishia pindi atakapolipata atatoa hukum ndani ya wiki 2....mpaka leo hii yuko kimya na wakili wangu hanipi ushirikiano wa kutosha.

Nifanye nini ili hukum itolewe mapema? Nipeni mwongozo wadau.....
 
Salaam wadau!

Yapata miaka miwili sasa tangu nifungue mashtaka CMA dhidi ya kampuni fulani ya hapa jijini Dar (jina kapuni).

Kampuni ilisitisha mkataba wangu wa miaka 2 due to redunducy ambayo haikuspecify termination reason.

Madai yalisikilizwa na kampuni ilipoambiwa tufanye mediation ilikaidi hivyo kesi ikaendelea mpaka kufikia kwenye arbitration.

Kwa hio hukum imekuwa ikipigwa danadana tu toka mwezi wa pili mwaka huu mpaka leo hii....kila nikimuuliza wakili wangu kuhusu hukum itatolewa lini amekuwa akiniambia nivute subira coz hakim hatakiwi kuharakishwa nisubiri mpaka atakapoamua...nilishawahi kumfata hakim kumuuliza kwa nn hukum inachelewa akaniambia sababu kibao mara "ohh nilikuwa likizo" mara "ooh nilikua nafanya mitihani" na kuna kipindi aliniambia kuwa wakati yuko likizo faili langu lilipelekwa kwa hakim mwingine hivyo tangu arejee toka likizo hajalipata hivyo akasema nimpe muda alifuatilie akanihakikishia pindi atakapolipata atatoa hukum ndani ya wiki 2....mpaka leo hii yuko kimya na wakili wangu hanipi ushirikiano wa kutosha.

Nifanye nini ili hukum itolewe mapema? Nipeni mwongozo wadau.....
Andika barua ya malalamiko kwa mkuu wa taasisi husika (kama ni CMA andika kwa mkuu wa hapo na kama ni mahakamani andika malalamiko yako kwa mkuu mahakama hiyo au ya juu yake kiutendaji), hiyo itakusaidia.. Usiishie kufanya malalamiko ya mdomo
 
Ni bora usubiri tu. Maana ukimharakisha anaweza kukula kichwa. Kingine Yawezakana kampuni inampa noti hakimu na wakili wako.
 
Ni bora usubiri tu. Maana ukimharakisha anaweza kukula kichwa. Kingine Yawezakana kampuni inampa noti hakimu na wakili wako.

Hayo ndyo yaliyonikuta Mimi.. nilimfuatilia sana Hakimu anipe hukumu yangu bila mafanikio nikamwambia nataka kusafiri .. siku aliyojua nasafiri aliandika hukumu ya kutia kichefuchefu akaondoka ofisini..

Hawa mahakimu nao ni watu wakati mwingine hawaeleweki
 
Ni bora usubiri tu. Maana ukimharakisha anaweza kukula kichwa. Kingine Yawezakana kampuni inampa noti hakimu na wakili wako.
Kusubiri tu hakuwezi badili chochote hasa ikiwa ni kweli huyo hakimu amepewa noti, cha kufanya ni kulazimisha hukumu hiyo itoke vyovyote vile ilivyoandikwa..pale juu kabla ya hukumu huwa wanaweka tarehe ya siku amri ya mwisho ilipotolewa na siku hukumu inaposomwa..tofauti kubwa ya siku ni sehemu mojawapo ya kuonesha shaka kuhusu hukumu hiyo hasa ikiwa hukumu haijakufeva..andika barua ya kulalamika kuhusu ucheleweshaji wa hukumu hiyo
 
Salaam wadau!

Yapata miaka miwili sasa tangu nifungue mashtaka CMA dhidi ya kampuni fulani ya hapa jijini Dar (jina kapuni).

Kampuni ilisitisha mkataba wangu wa miaka 2 due to redunducy ambayo haikuspecify termination reason.

Madai yalisikilizwa na kampuni ilipoambiwa tufanye mediation ilikaidi hivyo kesi ikaendelea mpaka kufikia kwenye arbitration.

Kwa hio hukum imekuwa ikipigwa danadana tu toka mwezi wa pili mwaka huu mpaka leo hii....kila nikimuuliza wakili wangu kuhusu hukum itatolewa lini amekuwa akiniambia nivute subira coz hakim hatakiwi kuharakishwa nisubiri mpaka atakapoamua...nilishawahi kumfata hakim kumuuliza kwa nn hukum inachelewa akaniambia sababu kibao mara "ohh nilikuwa likizo" mara "ooh nilikua nafanya mitihani" na kuna kipindi aliniambia kuwa wakati yuko likizo faili langu lilipelekwa kwa hakim mwingine hivyo tangu arejee toka likizo hajalipata hivyo akasema nimpe muda alifuatilie akanihakikishia pindi atakapolipata atatoa hukum ndani ya wiki 2....mpaka leo hii yuko kimya na wakili wangu hanipi ushirikiano wa kutosha.

Nifanye nini ili hukum itolewe mapema? Nipeni mwongozo wadau.....
Nitafute PM
 
Back
Top Bottom