Habari,
Nimekuwa CCNA-certified tangu september mwaka huu, kuna mtu aliniambia niki-indicate sanduku la posta
kwenye particulars zangu...cheti kitatumwa kwenye sanduku la posta, nilifanya hivyo nkitegemea cheti kitatumwa
kwenye sanduku la posta lakini mpaka leo hakijatumwa!
Kwa wale ambao...
An international company from Shengzen is looking for motivated candidates for sales and marketing positions...satisfactory salary will be offered to the successiful candidates! send your cv to hr@wabantu.com
Kama kuna mwenye tangazo lililo kamili la hiyo kazi wadau, nimeiona zoom lakini jinsi ya kuapply hawajaweka(ipo tu ile ya kuapply kizoom zoom)!
Msada kwa aliyeliona tangazo please!
1. outline at least 5 reason for the password to be strong 2. list steps of securing a new web server 3. Why linux server OS is preffered over windows naomba tusaidiane kuyajibu hayo maswali wanatehama!
Nimekuwa na maumivu ndani ya sikio kwa siku ya pili sasa...hamna kipele wala uvimbe, ni maumivu tu ambayo nayaskia haswa niki-apply pressure kidogo, nisipoligusa sisikii maumivu yeyote!
what could be the problem doctors...its like i cant sleep on this side of the ear!
Salaam JF,
Ni hili swala la wabunge wa Jamhuri kuwa na elimu ya at least shahada ya kwanza (undergraduate degree)...juzi MH. John Mnyika alipokuwa anahutubia bunge kwenya mjadala wa bajeti kuu ya serikali alisema "tumefika hapa tulipo(kwenye umaskini wa kutupwa na hali ngumu ya maisha ambayo...
Salaam wadau
Kama swali linavyojiuliza...eti information ambazo ume-burn kwenye CD zinaweza kuwa-attacked na computer viruses, naomba elimu kwenye hili!
Salaam wadau!Kuna kazi imetangazwa na hawa jamaa wa RTI international kupitia daily news ya 31st May, 2012 according to zoomtanzania.com, bt kwenye tangazo lilowekwa zoom hawajaweka email adress......kama kuna mtu alipata access ya hilo gazeti gazeti, atusaidie details zake hiyo kazi!
Habari wadau,
Hivi employer anaposema hataki transcript....ina maana anataka cheti gani cha chuo? au ndo ile leaving certificate? for once nilihisi lile tangazo la kazi la serikali limekosewa...hasa pale kwenye masharti ya kuomba kazi kipengele cha 8! kwa transcript,provisional result etc...
Salaam wanajukwaa....juzi juzi hapa wireless adapter yangu imeanza kugoma ku-connect internet, its like ina-detect signals but cant connect to the internet, but niki-switch to ubuntu nakuwa connected internet kwa wireless networks zilezile ninazotumia kwenye windows..what could be the problem?
Nawasalimu wana-tech wa Jamii Forums,
Nimepoke computer ya sony vaio model:VPCCB26EC ina processing power ya 64-bit, imekuja pre-installed na windows 7 ultimate 64 bit....but then imekuja na tatizo kubwa zaidi kwamba INATUMIA LUGHA YA KICHINA, nimeingia kwenye control panel (regions and...
Been searching for free none trial adobe illustrator online for about quarter a day now...but no signs of success, seems i kant get it without giving some dimes! please help
Natanguliza shukrani zangu wana-jukwaa...mimi ni kijana ambaye nimemaliza chuo kikuu mwaka huu. Kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimesoma elimu yangu yote mpaka hapa nilipofika kwa jina la upande wa mama (babu yangu upande wa mama), sasa mimi nataka kubadili hili jina nianze kutumia jina...
Kuna vifupi wadau wanavitumia humu ndani kama..MMU, JP/JM mi wananiacha kila wanapotumia hivyo sababu saa nyingne ujumbe wote upo ndani ya hivyo vifupi! nielewesheni wana-jamii forums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.