Habari za jumatatu Mh. Rais
Nimesikia kuwa baadhi ya wasaidizi wako wa karibu wanawatumia baadhi ya watu kukuchafua ( kukutukana). Nilikua nataka nikushauri Rais usije ukakubali kuyumbishwa na watu hao kwasababu ukiyumba wewe kama kiongozi wetu na sisi wananchi tutapoteza mwelekeo.
Kama...
Habari za muda wapenzi wa Jamii Forums.
Nimeona na mimi nitoe kidogo maoni yangu ya utawala awamu hii ya 6 chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Kwa tathmini fupi katika kipindi hiki cha muda wa miaka hii miwili naona anakwenda vizuri japo kasoro ndogo ndogo hazikosekani. Anafanya mambo...
TEC wajisahihishe siyo kosa kukiri madhaifu ili kuweka record sawa. Watanzania watajiuliza maswali ya msingi ambayo kama hayatapatiwa majawabu basi ni wazi TEC siyo chombo cha kidini bali ni genge la wafanyabiashara na matamko yao yatadharauliwa na kila mtanzania mwenye akili timamu. Naomba...
Lakini TEC haipaswi kuchukua udhaifu wa kiongozi aliyekuwepo madarakani kujiingiza kwenye scandal kupitia Benki ya kanisa na kwa baadhi ya maaskofu wake kupokea fedha hizo ambazo zina harufu kubwa ya ufisadi na rushwa na hawakuwahi kulitolea tamko lolote . Ndio tunauliza utashi huu wanaupata...
Nipo kaka majukumu yamekuwa mengi huwa napita kama msomaji mara kwa mara. Nakumbuka sana suala hili lilipita kama msiba mzito sana Siyo TEC wala kadinali mkuu wa katoliki aliyetoa neno kuhusu Benki ya kanisa katoliki mkombozi ilivyotumika kuhifadhi na kulipa mabilioni ya shilingi fedha za walipa...
Nipo kimya muda mrefu naangalia mambo yanavoenda ndugu yangu.Jana TEC wamenishtuwa kwa tamko lao kwakweli huu mchanganyiko wa dini na siasa tusipouendea kwa busara tutavurugana vibaya sana. Nasubiri tamko la waislamu nao tuweze kuweka mizania sawa. Tumuombee Rais anapitishwa kwenye mtihani ule...
Watanzania ni wazito sana kufuatilia masuala muhimu kama haya. Siasa zinaiharibu nchi hii tukija kushtuka ni lawama na kelele kwamba uchumi unashikwa na wageni. Tutake au tusitake dunia ya leo ukitaka kuendelea lazima sekta binafsi iingilie kati tena kwa ujazo mkubwa. Siku hizi JF imekua kijiwe...
Habari za weekend!
Nimefuatilia pia nimefurahi mmejitokeza wana CCM wengi kugombea nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya chama.ni jambo jema. Katika nafasi 20 za NEC taifa nimeona majina mengi ya watu maarufu ( maarufu mitandaoni) kuwania nafasi hizo siyo vibaya ila ushauri wangu jijengeeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.