Search results

  1. The MoNA

    Kwenu wataalamu

    Wasalamu waTz. Ulimwengu wa Compact Disk al maarufu CD ni kama umepitwa na wakati kutokana na ukuaji wa teknolojia. Kwa sasa kuna namna mbali mbali ambazo ni rahisi na salama ya kuhifadhi mafile mbali mbali kama ilivyo kwenye CD. Kuna kazi (album) ya kwaya ya RC itafanyika hivyo twataka...
  2. The MoNA

    Je ni sahihi kukamata watu wakajifunze Mgambo?

    Arusha. Kumetokea kamata kamata ya watu isipokua wazee, wenye ujauzito, vilema, na watoto u-18, wakacheze mgambo kwa lazima huko namanga mpaka wa tz na ke. Je, ni sahihi kwenye hili? Je, ni kwa Tz nzima? kama ndio je sehemu zingine wameanza au muda bado? Je, mamlaka haya ni kutokea wapi na kwa...
  3. The MoNA

    Inawezekana kweli?

    Wasalam ndugu zangu wa Tz na waafrika wenzangu. Nimesoma kuhusu NAFSI ambayo ni pumzi aliyopuliza Mungu kwa mujibu biblia kwetu sisi watu. Nimekuja kwenu kupata ufahamu zaidi kuhusu NAFSI. 1. Je, inawezekana kweli binadamu kukosa NAFSI na akawa anaishi? Au 2. Nafsi inaweza kufungwa na...
  4. The MoNA

    Natamani Saikoloji, Falsafa na Theolojia

    Kwenu wanabodi. Msaada. Ninatamani kuongeza maarifa bila kujali ajira (sina hitaji hili) kwa kusomea saikolojia teolojia na falsafa hasa hasa online, hata short course (kama ipo). Kama ipo kwa level ya degree, kama ninavyoelewa mimi ni sawa. Ni vipi naweza kuyapata maarifa haya? Ndilo ombi...
  5. The MoNA

    Halotel hamuwezi kufidia hasara (kama mmepata) kwa mtindo huu

    Ndugu wana Jamuhuri ya Muungano, Kwa mnaotumia halotel limewakuta hili? Wiki iliyopita mpaka hii tuliyopo kuna uhuni halotel wanaufanya. Unajiunga GB 1 ndani ya dakika 30-60 unapata na huu ujumbe; Mpendwa mteja! Umemaliza kifurushi chako cha intaneti. Kuendelea kutumia intaneti jiunge tena...
  6. The MoNA

    Turudishe nchi kwa wananchi

    Rais atakayefanya haya huenda atakuwa rais wa pili kuandikwa sana kwenye historia ya Tanzania. MPANGO YA MUDA MREFU 1. Kuwekeza kwenye teknolojia kuanzia shule za msingi. Hapa ni masomo yanayojipambanua kiteknolojia (sio programme/course). 2. Kuweka somo la Sheria kuanzia shule za misingi na...
  7. The MoNA

    Past present and future tense

    Kujifunza chini ya mwembe tabu jamani mwisho saa sita ila sio sababu ya kutofanya vizuri. Msaada wenu wa *Tense* na Lugha kwa ujumla. Najaribu kupitia mitandao kuhusu *tense* ila napata changamoto Kwenye nyakati kwa kukosa mwelekezi... Ali kwenye. LI Ame kwenye ME Ana kwenye NA At a kwenye...
  8. The MoNA

    Inawezekana vipi kwa hili kwa mtu wa aina hii...?!

    Messi ni mchezaji mashuhuri awapo uwanjani.Ni aina ya mchezaji aliyejaaliwa kila kitu katika Ufundi,unyumbulifu wa Mpira. Nyuma ya pazia kwa hivi karibu Messi amekutwa na shitaka na ukwepaji Kodi,takribani dola za kimarekani millioni 4.5,kwa kupeleka mali hizo kwenye visiwa visivyolipa kodi vya...
Back
Top Bottom