Lkn kama mke wako ni mvivu au mchafu kweli kwa nn watu wasikuambie?kuna vengine vinauma wanavyofanya wake zetu na ukiangalia ata ww mume unaona ni kweli. Kwa nn usimuwache?tupo nayo tunaenda nayo ila yanauma .yamenikutaaaaaaa eeeeeeeee binafasi
Ivi uyu pascal mayala kama kweli anajua hayo kwa nn kwanza asiwambie CCM ya upande wa zanzibar?ilikuwa wajaze fomu walalamike sio kufuta uchaguzi.P.M usiwe na akili uchwara kaka
Kuna sehemu ya nchi jirani nimekutana na jamaa mmoja anauza madini kwa mzungu flani hivi baada ya kumdadisi kwa kina nikahisi ni Madini aina ya uranium sababu nilitaka anipe sample nione lakini akasema hawezi kuyafungua mpaka avae nguo zake maalum ndio afungue, ila katika maongezi yetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.