beleza
JF-Expert Member
- Sep 18, 2014
- 397
- 144
Kuna sehemu ya nchi jirani nimekutana na jamaa mmoja anauza madini kwa mzungu flani hivi baada ya kumdadisi kwa kina nikahisi ni Madini aina ya uranium sababu nilitaka anipe sample nione lakini akasema hawezi kuyafungua mpaka avae nguo zake maalum ndio afungue, ila katika maongezi yetu aliniambia nikipata soko niende atanipatia ninayotaka na nilimuuliza ni aina gani akasema ni uranium na nikamuuliza hizo nguo kapata wapi?
Akajibu huyo mzungu ndio kamletea vipi linaweza kuwa deal hili au majanga kwa TZ? Sababu ni lazima nije nayo Tanzania.
Naomba msaada kwa anaelewa soko lake na inaruhusiwa na serikali?
Akajibu huyo mzungu ndio kamletea vipi linaweza kuwa deal hili au majanga kwa TZ? Sababu ni lazima nije nayo Tanzania.
Naomba msaada kwa anaelewa soko lake na inaruhusiwa na serikali?