Search results

  1. Kottler Masoko

    TV STAR X INCHI 43 @ TZS 60,0000-MWANZA

    TV 3pcs MODEL: STAR X SIZE: 43'' PRICE: TZS 600,OOO each. LOCATION: KENYATTA RD, MWANZA. CALL 0655736765. also WHATSAPP
  2. Kottler Masoko

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA) na visimbuzi vya Zuku, Azam na Dstv

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA) Miezi zaidi ya miwili iliyopita,mlikusanya maoni ya sisi Wadau/Wananchi wanyonge kabisa kupitia barua pepe na barua za kawaida juu ya namna ambavyo Makampuni yanayomiliki visimbusi vya Zuku,Azam na Dstv yalivyokuwa yanatutoza tozo za kila mwezi kwenye...
  3. Kottler Masoko

    Utalii katika kisiwa cha Mafia

    KISIWA CHA MAFIA: NAMBA SITA DUNIANI, NAMBA MBILI AFRIKA. Na Juma Salum Licha ya kasoro zao ambazo kila jamii ina za kwake, kuna jambo moja zuri binafsi nalipenda kuhusu ndugu zetu wachaga toka mkoa wa Kilimanjaro, sio kiwango cha utajiri wao, si idadi kubwa ya shule, sio kina Manka wala si...
  4. Kottler Masoko

    Kesi mahakama ya mwanzo kinondoni

    Wadau wanasheria, mdogo wangu ana kesi mahakama ya kinondoni na yupo nje kwa dhamana, siku za karibuni ameugua na akashindwa kuhudhuria mara mbili mahakamani na alimtuma mdhamini wake aende kutoa taarifa. leo imekuja summons ikitaka wadhamini waende na mtuhumiwa mahakamani, na summons...
  5. Kottler Masoko

    Huu ni wizi-relen consultants

    Hawa Relen Consultants wamewatumia vijana wangu kama watatu hii email, HUU NI WIZI na nimeshareport kwa Polisi Central. KAMA UNA JAMAA YAKO MWAMBIE HAWA NI WEZI. NAOMBA WATU WA BRELA PIA WAFUATILIE HIZI KAMPUNI UCHWARA ZIFUNGIWE. Hi Applicant! I have the pleasure to inform you that the...
  6. Kottler Masoko

    Sheria kandamizi: Wanachama wa PPF hawalipwi FAO la kujitoa hadi ufike miaka 55

    Zaidi ya wanachama 15 wa mfuko wa pensheni wa mashirika ya umma (PPF) wameandamana hadi Makao Makuu ya mfuko huo kushinikiza kulipwa fao lao la kujitoa. Wakizungumza na waandishi wa habari baada ya kufika ofisi za PPF baadhi ya wananchama hao wamesema wanashangazwa na mfuko kutowalipa fao hilo...
  7. Kottler Masoko

    Nyumba mpya inapangishwa dar- tzs 300,000 kodi ya miezi 10.

    ABOUT 3 BDRM HOUSE AT AIRPORT:Terms: Negotiable Bedrooms: 3 Bathrooms: 2 Amenities: 3 bedrooms (1 master), BIG sitting room, kitchen, store, public toilet..... BIG Car parking, Fenced. TZS 300,000@MWEZI KODI YA MIEZI 10 CALL 0655736765
  8. Kottler Masoko

    Chumba kinapangishwa rent TZS 80,000/= (Mwanza)

    WAHI FASTA>me nimelipia kwa bei ya LAKI1@MWEZI nimehamishwa kazi ghafla. Tigo: 0655736765 RENT TZS 80,000/MONTH Payment Terms: 6 Months in advance Negotiable: No Area: Mwanza Directions: Isamilo karibu na Flat za Bank na The JOINT Club. Bedrooms: 1 Bathrooms: 1 #Sliding Glass Aluminium...
  9. Kottler Masoko

    HP TABLET- ELITE PAD 10.1 WiFi TZS 550,000

    PERFECT CONDITION TABLET FOR BUSINESS WITH 8Hrs BATTERY LIFE Display size- 10.1'' Operating System - Windows 8 pro (32bit) Processor- Intel Atom 1.8ghz Duo core Camera -Rear 8mp and Front 2.1mp @1080p HD RAM - 2Gb ROM - 34GB extend up to 128gb with Micro SD port. Come with Charger, Case...
  10. Kottler Masoko

    Makontena yanahitajika 20ft mawili

    Nahitaji Makontena Mawili ya Futi 20 kwa bei ya Yshs 2,500,00 kwa kila moja. Whatsapp me @ 0787 736 765, Nipo Dar es salaam.
  11. Kottler Masoko

    Toyota IST 2005 inauzwa

    FULLY REGISTERED AND 1 YEAR COMPREHENSIVE INSURANCE. ENGINE: VVTi NCP65 CAPACITY: 1500cc DRIVE: AUTOMATIC MILLAGE: 92469KM PRICE TSH 12,500,000 (NEGOTIATION) Whatsap +255787736765
  12. Kottler Masoko

    National loans: Je huu siyo utapeli mpya tanzania?????

    WADAU TUSAIDIANE: kuna jamaa yangu ameshare hii link http://national-loans.wapka.mobi/index.xhtml HUU SIYO UTAPELI MPYAAA???? Language has been changed due to your contry TANZANIALugha imebadilishwa kutokana na nchi yako TANZANIA Tanzania Sponsored by: NATIONAL LOANS NATIONAL LOANS ni...
  13. Kottler Masoko

    Tuendelee kujifunza kupitia rwanda!!!

    RwandAir – where dream has turned into realityImage via airwaysmag.com BY DR. WOLFGANG H. THOME, ETN UGANDA | MAR 03, 2013(eTN) - While in Rwanda last week, news emerged from the corridors of RwandAir, that Accra, Ghana, will become the airline’s 15th destination by the latest in June of...
  14. Kottler Masoko

    TCRA MPOOO KWA FAIDA YA WATANZANIA KWELI:Ugandans allege Star Times selling fake decoders

    Ugandans allege Star Times selling fake decoders Send to a friend Thursday, 27 September 2012 09:37 By Nicholas Kalungi,BusinessWeek Correspondent Kampala. The Uganda Communications Commission has directed Star Times - a pay TV service...
  15. Kottler Masoko

    BlackBerry Torch 9860 INAHITAJIKA KWA TSH 500,000.

    Slightly used or new one. NB: negotiations are welcomed for any new one.:peace:
  16. Kottler Masoko

    Thanks JF for Birthday wishess!! I love it.

    Hello Kottler Masoko, We at JamiiForums would like to wish you a happy birthday today! It's a special day in your life and NOT just a year older, but a year better! Wishing you all the great things in life, hope this day will bring you an extra share of all that makes you happiest. Happy...
  17. Kottler Masoko

    LLB ya TURDACO NA OPEN UNIVERSITY IPI INAHESHIMA MTAANI??

    Kuna dogo wangu kachaguliwa LLB Open University anataka kubadilisha kwenda LLB ya jioni pale Turdaco. 1. Je inawezekana kubadili chuo after hizo Admission za TCU? 2. Vipi kuhusu sifa za ki-academic baina ya shule hizo mbili? Nawakilisha kwenu wadau.
  18. Kottler Masoko

    Wanted: Creosote

    We are doing a low cost housing project,We need to buy a tanker of creosote. Please can you kindly assist me as to where we can source creosote in Tanzania. PM me if you know any supplier in Tanzania. Many thanks.
  19. Kottler Masoko

    Wanted: Creosote

    We are doing a low cost housing project,We need to buy a tanker of creosote. Please can you kindly assist me as to where we can source creosote in Tanzania. PM me if you know any supplier in Tanzania. Many thanks.
  20. Kottler Masoko

    Nataka gari ya kukodi/car for rent au ya kununua kwa hire purchase.

    Natafuta gari ndogo used such as GX100,VITZ etc ya kufanyia kazi za ofisini kama kwenda bank,ktk ofisi za makampuni,na mizunguko ya katikati ya mjini hapa Morogoro town,Itatumiwa na Accountant wetu. Budget ni Tsh 300,000/= Month na nitaweka mafuta na maintanance ndogo nitafanya pia. Tuwasiliane...
Back
Top Bottom