Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA) Miezi zaidi ya miwili iliyopita,mlikusanya maoni ya sisi Wadau/Wananchi wanyonge kabisa kupitia barua pepe na barua za kawaida juu ya namna ambavyo Makampuni yanayomiliki visimbusi vya Zuku,Azam na Dstv yalivyokuwa yanatutoza tozo za kila mwezi kwenye...
KISIWA CHA MAFIA: NAMBA SITA DUNIANI, NAMBA MBILI AFRIKA.
Na Juma Salum
Licha ya kasoro zao ambazo kila jamii ina za kwake, kuna jambo moja zuri binafsi nalipenda kuhusu ndugu zetu wachaga toka mkoa wa Kilimanjaro, sio kiwango cha utajiri wao, si idadi kubwa ya shule, sio kina Manka wala si...
Wadau wanasheria, mdogo wangu ana kesi mahakama ya kinondoni na yupo nje kwa dhamana, siku za karibuni ameugua na akashindwa kuhudhuria mara mbili mahakamani na alimtuma mdhamini wake aende kutoa taarifa. leo imekuja summons ikitaka wadhamini waende na mtuhumiwa mahakamani, na summons...
Hawa Relen Consultants wamewatumia vijana wangu kama watatu hii email, HUU NI WIZI na nimeshareport kwa Polisi Central. KAMA UNA JAMAA YAKO MWAMBIE HAWA NI WEZI.
NAOMBA WATU WA BRELA PIA WAFUATILIE HIZI KAMPUNI UCHWARA ZIFUNGIWE.
Hi Applicant!
I have the pleasure to inform you that the...
Zaidi ya wanachama 15 wa mfuko wa pensheni wa mashirika ya umma (PPF) wameandamana hadi Makao Makuu ya mfuko huo kushinikiza kulipwa fao lao la kujitoa. Wakizungumza na waandishi wa habari baada ya kufika ofisi za PPF baadhi ya wananchama hao wamesema wanashangazwa na mfuko kutowalipa fao hilo...
ABOUT 3 BDRM HOUSE AT AIRPORT:Terms: Negotiable
Bedrooms: 3
Bathrooms: 2
Amenities:
3 bedrooms (1 master), BIG sitting room, kitchen, store, public toilet.....
BIG Car parking, Fenced.
TZS 300,000@MWEZI KODI YA MIEZI 10
CALL 0655736765
WAHI FASTA>me nimelipia kwa bei ya LAKI1@MWEZI nimehamishwa kazi ghafla.
Tigo: 0655736765
RENT TZS 80,000/MONTH
Payment Terms: 6 Months in advance
Negotiable: No
Area: Mwanza
Directions: Isamilo karibu na Flat za Bank na The JOINT Club.
Bedrooms: 1
Bathrooms: 1
#Sliding Glass Aluminium...
PERFECT CONDITION TABLET FOR BUSINESS WITH 8Hrs BATTERY LIFE
Display size- 10.1''
Operating System - Windows 8 pro (32bit)
Processor- Intel Atom 1.8ghz Duo core
Camera -Rear 8mp and Front 2.1mp @1080p HD
RAM - 2Gb
ROM - 34GB extend up to 128gb with Micro SD port.
Come with Charger, Case...
WADAU TUSAIDIANE: kuna jamaa yangu ameshare hii link http://national-loans.wapka.mobi/index.xhtml
HUU SIYO UTAPELI MPYAAA????
Language has been changed due to your contry TANZANIALugha imebadilishwa kutokana na nchi yako TANZANIA
Tanzania Sponsored by:
NATIONAL LOANS
NATIONAL LOANS ni...
RwandAir where dream has turned into realityImage via airwaysmag.com
BY DR. WOLFGANG H. THOME, ETN UGANDA | MAR 03, 2013(eTN) - While in Rwanda last week, news emerged from the corridors of RwandAir, that Accra, Ghana, will become the airlines 15th destination by the latest in June of...
Ugandans allege Star Times selling fake decoders
Send to a friend
Thursday, 27 September 2012 09:37
By Nicholas Kalungi,BusinessWeek Correspondent
Kampala. The Uganda Communications Commission has directed Star Times - a pay TV service...
Hello Kottler Masoko,
We at JamiiForums would like to wish you a happy birthday today!
It's a special day in your life and NOT just a year older, but a year better!
Wishing you all the great things in life, hope this day will bring you an extra share of all that makes you happiest.
Happy...
Kuna dogo wangu kachaguliwa LLB Open University anataka kubadilisha kwenda LLB ya jioni pale Turdaco.
1. Je inawezekana kubadili chuo after hizo Admission za TCU?
2. Vipi kuhusu sifa za ki-academic baina ya shule hizo mbili?
Nawakilisha kwenu wadau.
We are doing a low cost housing project,We need to buy a tanker of creosote.
Please can you kindly assist me as to where we can source creosote in Tanzania.
PM me if you know any supplier in Tanzania.
Many thanks.
We are doing a low cost housing project,We need to buy a tanker of creosote.
Please can you kindly assist me as to where we can source creosote in Tanzania.
PM me if you know any supplier in Tanzania.
Many thanks.
Natafuta gari ndogo used such as GX100,VITZ etc ya kufanyia kazi za ofisini kama kwenda bank,ktk ofisi za makampuni,na mizunguko ya katikati ya mjini hapa Morogoro town,Itatumiwa na Accountant wetu.
Budget ni Tsh 300,000/= Month na nitaweka mafuta na maintanance ndogo nitafanya pia. Tuwasiliane...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.