Sheria kandamizi: Wanachama wa PPF hawalipwi FAO la kujitoa hadi ufike miaka 55

Kottler Masoko

Senior Member
May 28, 2010
193
28
Zaidi ya wanachama 15 wa mfuko wa pensheni wa mashirika ya umma (PPF) wameandamana hadi Makao Makuu ya mfuko huo kushinikiza kulipwa fao lao la kujitoa. Wakizungumza na waandishi wa habari baada ya kufika ofisi za PPF baadhi ya wananchama hao wamesema wanashangazwa na mfuko kutowalipa fao hilo ikiwa baadhi ya mifuko ya hifadhi ya jamii ikiendela na malipo kwa wanachama wake.

Akitolea ufafanuzi suala hilo meneja huduma kwa wateja PPF Godfrey Mollel amesema mfuko huu kwa sasa umesitisha malipo ya fao la kujitoa kwa wananchama wake tangu mei 11 mwaka huu. Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria ya kutoa malipo ya fao la kujitoa kwa mwananchama hadi afike miaka 55 na sheria hiyo itumike mara baada ya kushughulikiwa kwa changamoto zilizopo.

TUNAOMBA WADAU TUTENGENEZE PETITION KUZUIA HUU UKANDAMIZI
 
Yan mkuu ni kweli kabisaa.. Ningekua najua jinsi ya kuanzisha hiyo petition ningeanzisha wallah.. Huu ni uonevu.. Yan mimi hapa ndo nawaza kwa maana nipo ajira ya mkataba.. Ikiisha na nikiamua kutoendelea na mkataba basi mamilion yangu nssf wanajimilikisha…
 
Mimi ninanvyoelewa, hii mifuko ya pensheni ni wizi uliotukuka...leo kijana wa miaka 20-25 anaanza kazi, kustaafu 2050 na ushee...hivi kweli atakuja kula pensheni yake huyu??? Na kadri siku zinavyokwenda ndivyo umri wa kuishi unavyopungua...naona hata umri wa kustaafu kwa hiyari ungepunguzwa kwa kizazi hiki!!! Au waweke utaratibu wa wazi kabisa bila kupindishapindisha kwenye malipo kuwa kila baada ya miaka mitano kazini...wanachama wanaruhusiwa kukwangua kilichokuwepo!!! Ili kujenga au kuendesha magari...basi waanze ujanani na sio uzeeni!!!
Mambo ya fainali uzeeni yashapitwa na wakati...[HASHTAG]#FAINALIUJANANI[/HASHTAG]
 
Zaidi ya wanachama 15 wa mfuko wa pensheni wa mashirika ya umma (ppf) wameandamana hadi makao makuu ya mfuko huo kushinikiza kulipwa fao lao la kujitoa.
Wakizungumza na waandishi wa habari baada ya kufika ofisi za ppf baadhi ya wananchama hao wamesema wanashangazwa na mfuko kutowalipa fao hilo ikiwa baadhi ya mifuko ya hifadhi ya jamii ikiendela na malipo kwa wanachama wake
Akitolea ufafanuzi suala hilo meneja huduma kwa wateja ppf godfrey mollel amesema mfuko huu kwa sasa umesitisha malipo ya fao la kujitoa kwa wananchama wake tangu mei 11 mwaka huu.

Bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania lilipitisha sheria ya kutoa malipo ya fao la kujitoa kwa mwananchama hadi afike miaka 55 na sheria hiyo itumike mara baada ya kushughulikiwa kwa changamoto zilizopo.

TUNAOMBA WADAU TUTENGENEZE PETITION KUZUIA HUU UKANDAMIZI

Halafu kuna Taasisi ya Umma inayoitwa SSRA.... in principle haifahamiki kazi yake ni nini haswa. Ni kutetea maslahi ya wanachama, au kutetea maamuzi ya manejimenti za mifuko hii. Over six months ago there has been a big confusion on this issue and no one person is giving a statment
 
Zaidi ya wanachama 15 wa mfuko wa pensheni wa mashirika ya umma (PPF) wameandamana hadi Makao Makuu ya mfuko huo kushinikiza kulipwa fao lao la kujitoa. Wakizungumza na waandishi wa habari baada ya kufika ofisi za PPF baadhi ya wananchama hao wamesema wanashangazwa na mfuko kutowalipa fao hilo ikiwa baadhi ya mifuko ya hifadhi ya jamii ikiendela na malipo kwa wanachama wake.

Akitolea ufafanuzi suala hilo meneja huduma kwa wateja PPF Godfrey Mollel amesema mfuko huu kwa sasa umesitisha malipo ya fao la kujitoa kwa wananchama wake tangu mei 11 mwaka huu. Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria ya kutoa malipo ya fao la kujitoa kwa mwananchama hadi afike miaka 55 na sheria hiyo itumike mara baada ya kushughulikiwa kwa changamoto zilizopo.

TUNAOMBA WADAU TUTENGENEZE PETITION KUZUIA HUU UKANDAMIZI
Nafikir ingefaa zaidi kama tungeungana nakupata kufika kwa p1 hapo ppf kushinikiza majibu toka kwa mkurugenzi wa ppf lini watalipa pesa zetu maana sheria hii haijaanza utekelezaji kwa changamoto zinazohusu hili swala hazijapatiwa njia mbadala bado
 
Halafu kuna Taasisi ya Umma inayoitwa SSRA.... in principle haifahamiki kazi yake ni nini haswa. Ni kutetea maslahi ya wanachama, au kutetea maamuzi ya manejimenti za mifuko hii. Over six months ago there has been a big confusion on this issue and no one person is giving a statment
Kwakwel ni kama mbwa koko ambavyo huwa anakula chakula kingi ili atizame 22 haitufaidii kitu hii mamlaka....
 
Hii mifuko haiangalii maslahi ya wanachama wake kabisa...yaani mfanyakazi ana miaka 5-10 kazini aombe mkopo CRDB au NMB wakati ninyi mpo??? Kama pesa aliyojitunzia haimnufaishi...kuna haja gani kutunza???
 
Mi nilisema andamaneni mkapinge huko bungeni wasipitishe. Wakishapitisha imekula kwetu.
 
Jamani hvi kwa ubabe wa awamu hii hili suala si ndo limeshakuwa hivyo????
 
PPF hata mafao yao kwa wastaafu yanakuwa madogo kuliko mifuko mingine, sijui wanatumia formula ipi kupigia hesabu wanachama wao ambayo iko tofauti na wenzao
 
Mimi ninanvyoelewa, hii mifuko ya pensheni ni wizi uliotukuka...leo kijana wa miaka 20-25 anaanza kazi, kustaafu 2050 na ushee...hivi kweli atakuja kula pensheni yake huyu??? Na kadri siku zinavyokwenda ndivyo umri wa kuishi unavyopungua...naona hata umri wa kustaafu kwa hiyari ungepunguzwa kwa kizazi hiki!!! Au waweke utaratibu wa wazi kabisa bila kupindishapindisha kwenye malipo kuwa kila baada ya miaka mitano kazini...wanachama wanaruhusiwa kukwangua kilichokuwepo!!! Ili kujenga au kuendesha magari...basi waanze ujanani na sio uzeeni!!!
Mambo ya fainali uzeeni yashapitwa na wakati...[HASHTAG]#FAINALIUJANANI[/HASHTAG]


Miongoni mwa wanyonge ambao Mzee wa kaya anatakiwa kuwatetea kwa nguvu zake zote ni hawa wa mifuko ya hifadhi
 
Wanatafuta fedha za kujenga viwanda kana kwamba tuliochangia tuliwatuma kufanya hivyo
PPF na serikali wanadhani ni pesa Yao na sio ya wanachama
pathetic
 
Hizo ni haki za watu inatakiwa watu wapewe tu Pesa zao ,hao ppf in km Ben k tuu MTU ukitaka hela yako unachukua masharti ya miaka 55 wameongea naungu kmbi nachamnu wataishi zaidi ya miaka 55 au,that is non sense huo in ukandamizaji wa haki za binadamu
 
Sheria hii ikipitishwa tumekwisha kwani tutalazimika kufanya kazi tusioipenda na itawapa kiburi cha kutunysnyasa hasa sisi tunaofanya kazi sector binafsi kwa ujira mdogo! Eee Mungu saidia hii Mutu ya Tanzania
 
Back
Top Bottom