Wana JF naomba wenye ujuzi mnijuze. Hivi suala la kuacha njia/barabara pale unapojenga utaratibu wake ukoje hasa kwa maeneo ambayo hayajapimwa? Na Je ni sahihi wananchi kulazimisha njia katikati. ya shamba la mtu? Karibuni kwa mchango wa mawazo.
wana jf wenzangu gari yangu suzuki escudo automatic imekuwa ikiflash/blink taa ya over drive kila ninapopunguza mwendo au kupandisha kilima. ikisha changanya mwendo taa inazimika. je tatizo hili linaweza kuwa ni nini na nitalitatua vipi? mafundi wawili wamesha shindwa.
Wataalamu naombeni ushauri. mimi kwa hela niliyo nayo siwezi agiza gari nje sana sana nitachukua showrooms au nitamvua mtu. sasa nishaurini ni vitu gani vya msingi natakiwa kuwa makini navyo hasa nitakapoamua kununua gari kutoka kwa mtu binafsi? na kama ni showroom ni zipi ambazo ziko fresh...
Tafadhali kwa ambaye anafahamu, hivi Suzuki Escudo old model za miaka ya 199...katika showrooms za hapa bongo naweza kupata kwa bei gani?
naombeni msaada wa mawazo pia kuhusu chaguo langu hilo.
wana jf sect 43 ya ELRA states that where an employee's contract is terminated the employer shall pay for the transportation of that employee to the place of recruitment.
swali langu ni; kwa kuwa sheria hapo haijasema the contract is terminated by who, je ni haki mfanyakazi aliye terminate...
wakuu/wasomi naombeni ushauri wa kitaalam, nina kiwanja changu, nimekuta jamaa wameanzisha njia/ anapitisha gari bila hata ya kunitaarifu, nami nataka nichukue uamuzi wa kuiziba/ kuweka fence, je niko sahihi?
wana jf natamani sana kujua majina ya waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano mwaka huu 2011 wanatoa lini na kwa njia ipi
tafadhali mwenye data atujuze
Wana JF naombeni mnijuze ni wapi hapo DSM naweza kupata maziwa haya kwa ajili watoto.
Nikipata wanapouza ya jumla itakuwa vizuri zaidi. asanteni kwa ushirikiano
wana JF kuna jamaa yangu alikuwa anamsomesha mtoto yatima, maendeleo ya yule mtoto hayakuwa yakuridhisha hata kidogo darasani. akatakiwa kurudia kidato cha kwanza au kuhama, akahamishwa na kutafutiwa shule ingine lakini kule pia ndo akafanya vibaya zaidi. kwa kuwa huyo jamaa alikuwa ni mlezi tu...
Wana JF ni umri gani hasa unafaa kumwanzishia mtoto mdogo uji au maziwa? na kipi kinashauriwa kuanza kati ya uji au maziwa. wa kwangu ana miezi 2.
Naomba ushauri wenu wa kitaalam.
wana JF nina mtoto mdogo mwezi na nusu, hajapata choo (haja kubwa) siku ya nne sasa, wengine wanasema ni kawaida, je kuna uwezekano ikawa ni ugonjwa? naombeni msaada na ushauri wenu tafadhari.
Ikumbukwe kuwa hajaanzishiwa chochote zaidi ya maziwa ya mama.
Wakuu naombeni msaada kuna ndugu yangu tumbo lina muuma muda wote ameenda hosp. baada ya kumpima wamegundua kuwa INI lake ni kubwa isivyo kawaida, amepatiwa dawa lakini bado maumivu yanaendelea.
je nini huwa kinasababisha ugonjwa huu? na tiba mbadala huwa ni ipi? naombeni wataalam mnisaidie.
Wadau naombeni msaada wenu, mimi nina tatizo la macho macho yangu yalianza kuwasha miezi kama miwili iliyopita, nikaenda hospital Regency nikapewa dawa ya matone(drops) nikaambiwa nitumie siku 7.
Baada ya siku 7 kuisha nikaenda tena nikabadilishiwa dawa nikapewa ya kutumia mwezi mzima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.