asante mdau, je huo uji ni unga wa mahindi, ulezi au kuna unga special kwa jili ya watoto wachanga?
wangu anamiezi 7 nimemuanzishia maziwa ya ngombe wiki sasa inakaribia. tatizo anapata choo kigumu na kwa tabu sana, nimeambiwa nichanganye na maji maziwa.
kuna mwenye ufahamu tafadhali