Wakuu naombeni msaada kuna ndugu yangu tumbo lina muuma muda wote ameenda hosp. baada ya kumpima wamegundua kuwa INI lake ni kubwa isivyo kawaida, amepatiwa dawa lakini bado maumivu yanaendelea.
je nini huwa kinasababisha ugonjwa huu? na tiba mbadala huwa ni ipi? naombeni wataalam mnisaidie.
je nini huwa kinasababisha ugonjwa huu? na tiba mbadala huwa ni ipi? naombeni wataalam mnisaidie.