Msaada tafadhari

Bizzly

Member
May 3, 2010
79
21
Wakuu naombeni msaada kuna ndugu yangu tumbo lina muuma muda wote ameenda hosp. baada ya kumpima wamegundua kuwa INI lake ni kubwa isivyo kawaida, amepatiwa dawa lakini bado maumivu yanaendelea.

je nini huwa kinasababisha ugonjwa huu? na tiba mbadala huwa ni ipi? naombeni wataalam mnisaidie.
 
Maelezo zaidi ya kitaalamu yalitakiwa kutolewa na hao madaktari waliomuona mgonjwa, kuna vitu vingi vinavyosababisha ini kuwa kubwa( Hepatomegally) ambavyo huwa sorted out kutokana na kumuexamine mgonjwa na kupima vipimo mbalimbali vya mwili kisha kile kilichoonekana ndicho chanzo cha tatizo hutibiwa kama kinatibika.
 
1 MIAKA ,... Isije kuwa malaria?
2 LINAUMAJE

.
Maelezo zaidi ya kitaalamu yalitakiwa kutolewa na hao madaktari waliomuona mgonjwa, kuna vitu vingi vinavyosababisha ini kuwa kubwa( Hepatomegally) ambavyo huwa sorted out kutokana na kumuexamine mgonjwa na kupima vipimo mbalimbali vya mwili kisha kile kilichoonekana ndicho chanzo cha tatizo hutibiwa kama kinatibika.
 
Back
Top Bottom