wana JF nina mtoto mdogo mwezi na nusu, hajapata choo (haja kubwa) siku ya nne sasa, wengine wanasema ni kawaida, je kuna uwezekano ikawa ni ugonjwa? naombeni msaada na ushauri wenu tafadhari.
Ikumbukwe kuwa hajaanzishiwa chochote zaidi ya maziwa ya mama.
its normal
wangu alikaa 6 days.ndivo trend inavukua.leo atapuu anakaa siku 3 au had 6 then anapuu tena.i ve two kids i know coz hata mie at first nilihofu.ila ni kawaida.hataivo ni vema ukampa maji ml 10 au 20,kama una maziwa mengi we mkandamize nyonyo tu mwanawane, ndo anakua ivoo:violin:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.