Ni takribani siku Nne sasa toka taarifa zizagae hasa katka mitandao ya kijami,i kuhusu ujumbe na Neno alilotoa Askofu Mkuu wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship Z.Kakobe, kwa vyama vya upinzani hususani chama kikuu cha upinzani kwa sasa CHADEMA juu ya kauli za viongozi wake mbalimbali...
Salaam wadau namshukuru Mungu nimekua mmoja wa waliochaguliwa kujiunga na Law school kwa mwaka wa masomo wa 2018 lakin nina shida moja ya intake, niko intake ya June kama kuna mtu aliyechaguliwa january na angependa kuingia June tubadilishane na tuwasiliane tafadhali
Shukran
Wakuu habari zenu, poleni na shughuli mbali mbali, leo niko hapa kuwatangazia fursa ya kazi, kabla sijatoa sifa niweke wazi tu kuwa ni mimi binafsi nahitaji mtu huyo ili kufanya nae kazi ambayo iko kwenye mchakato wa kuimalizia ila kuna upungufu wa mtu huyu
Sifa.
Awe na umri usiopungua miaka...
Wasalaam wakuu,
Imekuwa sasa ni kawaida kwa television hii ya Star TV kuonyesha makala ya balozi wa usagaji na ushoga nchini uganda ambayo huonyeshwa mara kwa mara pasipo kuwa na muda maalum, mara ya kwanza nilifikiri wamefanya vile kama kuonyesha tu hali ilivo Uganda lakini sasa hivi...
Wakuu habari za sahizi naomba kujulishwa juu ya hii huduma ya PF3 inayotolewa na Polisi kwa wanaopata majeraha na wanahitajika kutibiwa, je ni sheria gan inayo ipa uhalali hii form kutumika? lakini nataka kujua pia kuna uwezekano wa mahakama kuadhibu awayeyote atakayeshindwa kufuata sheria hii...
Zimekua zikiripotiwa taarifa za aliyekua mbunge a nyamagana 2005/2010 ndg masha kua ametimkia katka jimbo la Sengerema katika mchakato wa kuwania kuwakilisha bendera ya CCM kwa jimbo hilo ktk uchaguzi mkuu unaofanyika October mwaka huu.
Kitendo hicho binafsi nakitazama kuwa ni kuwadharau...
 12:41
Akihubiri siku ya Pasaka
katika Kanisa la Full Gospel
Bible Fellowship lililopo
Mwenge katika Jiji la Dar-Es-
Salaam, Askofu Mkuu Zachary
Kakobe alisema kwamba,
inajulikana wazi kwamba
Lowassa amekuwa anautaka
Urais kwa udi na uvumba
kwa miaka mingi, hata
mwaka 1995 alijitosa...
wadau na wanasheria wote humu ndan tafadhari naomba kwa yeyote mwenye sheria hiyo ya JALO anisaidie kuipata. Hii n ile sheria iliyokuwako kabla ya hii tulionayo ya sasa ambayo ni JALA
nawatakieni siku njema
Habari wana JF,
Leo nimewaza juu ya huu mchakato wa katiba mpya jinsi kamati zinavyoendesha uchambuzi wake kabla ya kuwasilisha kwa wajumbe wote.
Kila ripot inayotolewa na kila kamati, inaonyesha kubadili vifungu ambavyo vilipendekezwa ndan ya rasm ya katiba mpya, swali linalo niumiza kichwa ni...
Wana JamiiForums habri zenu,
Mie leo ninashda moja, nina laptop haina partition yaani nikipga window chini kila kitu kinapotea,
Ila yupo jamaa akanambia niweke partition sasa watu kama mimi BBC (Born Before Computer) sijui pa kuanzia wala pa kuishia, kwahiyo naomba mnisaidie wanajamii jinsi ya...
Wana JF habr zenu, mie leo nashda moja, kuna laptop ninayo ila haina partition yan nikipga window chin kila kitu kinapotea,
Ila yupo jamaa akanambia niweke partition sasa watu kama mimi BBC (Born Before Computer) sijui pa kuanzia wala pa kuishia, kwahiyo naomba mnisaidie wanajamii jinsi ya...
Wakuu kwa yeyote mwenye laptop ya del yenye 2.13 double procesor ram 2gb na hhd 500 ani PM 2zungumze bei
Au laptop yeyote yenye ukubwa unaokarbiana na huo yenye hal nzur
Aksante kwa ushirikiano wako
Papa Francis kiongozi wa kanisa katoliki
Kundi moja la wanawake walio na hisia za kimapenzi na mapadre wa kikatoliki wamemuandikia barua kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis ya kumtaka kubadilisha sheria za kanisa hilo zinazowazuia viongozi hao wa dini kuoa.
Wanawake hao 26 kutoka...
Habar za shughuli wadau katka safu hii, nahtaj mchumba, bdae mke wa maisha
SIFA
. Awe na umri usiozid miaka 27
.kabila lolote na rangi yeyote
. Asiwe mwepesi wa kukasirika
. Afu awe na uvumilivu
. Elimu kuanzia kidato cha 6
Kumbuka sijaribu niko serious.
mpenz Nilienae hafai kuwa mke na kashasepa
Juma, Bakari, Asha and Rahma are sitting near one cafeteria at Dar es salaam preparing to take brake fast.
Jamal, Ashas ex-girlfriend walks by holding an empty bottle of beer. He advances, angrily, towards Juma saying I will show you who I am! No one steals my girlfriend and gets away with it...
VIJANA zaidi ya 1,000 ambao ni wanachama wa
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi
(UVCCM) Wilaya ya Meru, Mkoa wa Arusha,
wamevamia ofisi za chama hicho kuanzia ngazi
ya wilaya na mkoa, wakidai wamechoshwa na
uongozi wa juu wa chama kuwachagulia viongozi
ambao si chaguo lao.
Vijana hao walidai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.