kioju
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 804
- 271
Salaam wadau namshukuru Mungu nimekua mmoja wa waliochaguliwa kujiunga na Law school kwa mwaka wa masomo wa 2018 lakin nina shida moja ya intake, niko intake ya June kama kuna mtu aliyechaguliwa january na angependa kuingia June tubadilishane na tuwasiliane tafadhali
Shukran
Shukran