Nimejaribu:
1. Nikitumia miracle box inafeli kwenye "downloading boot 8" then inajifunga.
2. Kuweka custom ROM kwa sp - flash tool, nimefeli.
3. Nime apply update kutoka kwenye sim card inagoma.
4. Nimetumia mobile uncle apk ku restore IMEI kutoka kwenye bak file sijafanikiwa.
5. Nimetumia...
Wadau, mimi sio mlevi na wala situmii kilevi cha aina yeyote ile, Sitamani kuwa mlevi na wala sijawahi kuwaza kutumia kilevi, hata haya ma-energy drinks sijawahi kutumia.
Cha kushangaza jana usiku nimeota nakunya bia, nilipata pafu moja ila ikawa na ladha mbaya then nikaitema. Hii ni mara ya...
Huo ni ujumbe ninaoupata ninapolocate pointer kwenye icon ya battery, sometimes inacharge na sometimes haicharge. Nimejaribu ku-uninstall and ku~reinstall ACPI nikidhani kuwa inaweza kuwa corrupt lakini sijafanikiwa. Msaada wa haraka plz, nisaidieni viongozi
........ninayo furaha kuwataarifu kuwa ndani ya miezi miwili ijayo nitapata date ya kwanza kabisa, what shall I observe....??....wazoefu wa dates please
Its my very 1st date of life
Kila uwanja wa mpira wa miguu (hasa viwanja vya wazi) unakuwa na njia katikati kutokea kona moja hadi nyingine (kama diagonal)......karibia viwanja vyoote.....hivi sababu ya hii kitu ni nini hasa...??...naomba tujuzane!!
Nawasilisha.
Msaada tafadhali,
Kutatua tatizo hilo. Chakula chenye virutubisho vyote wanapata na maji vyakutosha, pia wana sehemu nzuri za kutagia na kutotolea. Kwa ujumla huduma zote wanapata., ila tatizo ni rate ndogo ya kuzaliana.
Nawasilisha
Hasa kwa kutumia PC au mobile browser (kwa app ya yahoo hamna tatizo), kila nikijaribu napata huu ujumbe 'We've noticed some unusual account activity.' Ila sina access na namba ya simu niliyoitumia wakati wa ku-sign up. Nikienda kwa I can't access my account napo naishia hapa kwa Your password...
Nahitaji, ziwe za physics, pure mathematics na chemistry a'level
Pia kwa ajili ya faida ya wengine waweza kuweka hata za masomo mengine ya a'level na o'level pia.
Muwe na Siku njema!
¤.Kwanza kabisa log in katika acount ya facbook Wakati uko ndani ingia katika Account Setting kisha badilisha lugha kuwa Bahasa Indonesia.
¤.Njia Ya kuwafanya facebook wakuamini kuwa unatokea Bahasa Indonesia ni
1.Ingia katika mtandao wa ProxyNova - Fresh Proxy Server List, Free Online...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.