no nm
JF-Expert Member
- Apr 1, 2014
- 212
- 32
Wadau, mimi sio mlevi na wala situmii kilevi cha aina yeyote ile, Sitamani kuwa mlevi na wala sijawahi kuwaza kutumia kilevi, hata haya ma-energy drinks sijawahi kutumia.
Cha kushangaza jana usiku nimeota nakunya bia, nilipata pafu moja ila ikawa na ladha mbaya then nikaitema. Hii ni mara ya pili naota ndoto hii, mara ya kwanza ilikua kama miezi miwili hivi iliyopita, sijajua maana yake ni nini, na siajawahi kumwambia mtu yeyote.
Watumishi wa Mungu na Wajuvi wa kutafsiri ndoto, hii maana yake ni nini?
Nawatakia usiku mwema.
Cha kushangaza jana usiku nimeota nakunya bia, nilipata pafu moja ila ikawa na ladha mbaya then nikaitema. Hii ni mara ya pili naota ndoto hii, mara ya kwanza ilikua kama miezi miwili hivi iliyopita, sijajua maana yake ni nini, na siajawahi kumwambia mtu yeyote.
Watumishi wa Mungu na Wajuvi wa kutafsiri ndoto, hii maana yake ni nini?
Nawatakia usiku mwema.