Nakumbuka alishauri mitambo ile ya Dowansi(IPTL) inunuliwe na serikali ili kusiwe na gharama za kukodi,mafisadi wakasema et serikali haiwez nunua mitambo mibovu!mitambo hiyohiyo leo serikali inalipia kwa fedha nyingi sana!kwa hili jama namkubali
Unahakika gani kama yesu emesema usioe zaid ya Mke mmoja?kwn Leo maandiko yanasemaje kuhusu mashoga na wakati wake Alisemaje?ukristo unaendwa kwa Mujibu wa mapdri wanavyataka!
Angekua muislam ndio atakuwa amemtendea haki mkewe kwa kuendelea kuwa nae na yy kuoa mwingine,ila kwa huu "UKRISTO ULIVYO NA MAPUNGUFU"pafoko hata kubali,ushauri hamieni ktk uislam dini inayoendana na maumbile yako!
'Dawa ya moto ni moto'walisema wahenga,huyu jamaa ni mnafiki mkubwa!kwni alipoiuza/binafsisha 'NBC'kwn nani alitaka zaidi yake?alikatazwa na Mwl.jk,alimuona -----!et leo anajifanya hakubali mikataba?
Acha uongo!lete hapa idadi ya wanafunzi wa shule za kata kwa miaka 2,2013&2014, idadi ya jumla yao!waliofaulu&waliofeli ili tuthibitishe hiyo % ulioiweka hapo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.