nijibu kwenye email yangu isidoritmallya@gmail.com gharama zote kusudi nikija dar nikutafute.
pesa ngapi kusajiliwa jina
Mimi nimekuja kutoa ushuhuda,Busiminet wana huduma nzuri kuna mtu niliwaunganisha naye amesaidiwa kufunguliwa kampuni kwa wakati na haraka,nawashauri wote wanaohitaj hii huduma wawaone wako vizuri sana
Asanteni
mimi ninataka kusajili kampuni... mimi na mdogo wangu, nahitaji mchanganuo wa gharama na muda..... naomba iwe ya kueleweka.. nijibu kupitia sajophin@gmail.com
Mimi nimeingia brera na kuangalia jina mwenyewe nikakuta halina mtu, nimetangaza jina la kampuni na tayari nimeanza kupiga pesa Hata bila kusajiri. sasa ninawateja kenya na canada, jf mambo yote
Nahitaji kusajili NGO na kupata chet inakuwaje mbwelwaa@gmail.com
Nipeni pesa kidogo tu niwatengenezee website. blogspot sio maridad sana
pesa ngapi kusajiliwa jina
Mimi nataka kufungua subsidiary coz nina kampuni nyingine kabla, kusajiri logo/name,ila kwenye hii kampuni nataka kumweka binti yangu mwenye umri wa miaka 3,inakubalika? Na gharama yake pls nipm
Hello misasa;
Kama bado hujahudumiwa,karibu sana tukuhudumie.
asante
Bab d
Kama hayo uliyosema n kweli basi kuna haja jamaa atueleze na ikieezekana atupatie no ya usajiri
Gharama ni 40,000/= na kuhusu muda ni muda wa siku mbili za kazi.
asante,karibu sana