huko mbona mbali sana ! niko tayari kumlipia gesti keko magurumbasi ajifiche japo mwezi mmoja ili wananchi wamsahau .Baada ya kikao aungane na ndugu zake waliokimbia nchini mwake huko kigoma na wampe ukilanja wa hao wakimbizi wenzake si anapenda kuendelea kuongoza eeee' maana hakuna namna.
nadhani ueleko mzuri na salama utakuwa ni wa kusini....unachapa lapa mpaka n'twara kupitia daraja la rufiji.mbaya zaidi ni pale daraja hilo litakapo kuwa limetekwa na waasi wa chama cha magamba.hatari sana mkuu.tusiombe hii kitu itokee.:becky:Tulioko Dar tutakimbilia wapi?si meli,ngalawa wala ndege zitaruka!
Najaribu kuiangalia T-shirt aliyovaa hapa na kujiuliza kama inatokea kwa bahati mbaya au alikusudia kuinunua kutokana na maandishi yake yaliyokaririwa kutoka kwa mwananamuziki Tupac!
Kama asingelikuwa 'against the world' na kusikiliza dunia ilichokuwa inasema then akamuandaa hata 'mtu wake' na kumpa madaraka basi angepata heshima kubwa sana hata kama sio Burundi basi kwingineko duniani ikiwa ni pamoja na kurejesha heshima ya mtu mweusi. But all are now gone, imebaki story!!!
View attachment 251502
unamanisha ikalipuliwa nahisi
Sisi watu weusi tunatia aibu sana, ulafi, uchoyo na ubonafsi. Haya majamaa pia nimajinga na mashenzi.
1. Yowel Kaguta Museven - Uganda
2. Paul Kagame - Rwanda
3. Joseph Kabila - DRC Kongo
4. Ally Bashil- Sudan
5. Robert Mugabe - Zimbabwe
Nadhani unamaanisha Juvenary Habyarimana.