Habari ya usiku viongozi? Samahani, naomba kujua utaratibu kisheria uko vp kwa mwanaume aliyeachana na mwanamke huku wakiwa wamezaa wore. I mean sheria inasemaje kuhusu matunzo and specifically kwa watoto (gharama). Mimi ni mtumishi niko kwenye NGO moja hapa kwetu (Tanzania). Note: Nina watoto...
Salaam! Hongereni na poleni kwa majukumu, naomba msaada kati ya Degree ya Science (ICT) na Degree ya Science (Data Management) zinazotolewa na Open University of Tanzania ipi ni bora zaidi hasa katika ulimwengu huu na dunia ijayo.
Ahsanteni. Be blessed!
Heshima yenu wakubwa kwa wadogo.
Samahani, mimi ni kijana wa umri wa miaka 29. Naomba msaada wa dawa au ushauri wa jinsi ya kuacha au kupunguza ulevi/unywaji wa pombe.
Kiukweli nimezama kweli kweli kwenye dimbwi la ulevi wa pombe yaani mpaka kuna baadhi ya mambo yangu hayaendi kabisa na kuna...
Habari Dear good people? samahani, kuna shirika linaitwa MDH (Management and Development for Health) linajishughulisha na HIV/AIDS related issues. Shirika hilo limetangaza ajira nyingi tu Tabora. Naomba kujua kwa eale wenye uzoefu MDH huwa wako fair kwenye mchakato mzima wa kuajiri na payments...
PERFECT 12 HIYO
PREDICTIONS ZENU JAMANI
AHSANTENI
1 La Liga MALAGA vs BETIS 2.15 3.47 3.60
2 Cyprus ALKI OROKLINIS vs PAFOS FC 2.30 3.08 2.90
3 Turkey GOZTEPE vs KONYASPOR 2.05 3.35 3.60
4 Greece LEVADIAKOS vs PANIONIOS 2.80 2.70 2.60
5 Israel 2 BEITAR JERUSALEM vs MACCABI TEL AVIV 2.55...
Naombeni mnibetie timu zifuatazo....
1. Everton vs Westham
2. Nantes vs Monaco
3. Las Palmas vs Depotivo la Coruna
4. Angers vs Rennes
5. Guingamp vs Montpellier
6. NK OSIJEK vs HNK HAJDUK SPLIT
7. KORTRIJK vs ANTWERP
8. LANUS (ARG) vs GREMIO (BRA)
9. U. SAN MARTIN vs ALIANZA LIMA
Ahsanteni...
Habari Ndugu zangu! Samahani sana naomba kufahamu kati ya SD Bioline na Alere Determine...kipi ni kipimo bora zaidi kwa kupima HIV. Ikumbukwe kuwa Alere was once used in Tanzania na SD Bioline ndio sasa inatumika. Ahsante
Samahani sana ndugu zangu, naomba kujua kati ya Usalama wa taifa, Polisi, JWTZ, Uhamiaji na PCCB wapi ni kuzuri zaidi just in case mtu akipata ajira huko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.