Kama ni kweli basi hii aibu ni kubwa mno kwa Rais Magufuli....

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,114
115,934
Wote tumeshuhudia kilichoitwa 'vita dhidi ya biashara ya madawa ya kulevya'

lakini taarifa zilizojitokeza wiki hiii za kuwa kumbe 'baadhi ya watuhumiwa'
TID na Tunda na Rommy Jones' walilipwa shilingi milioni mbili' kila mmoja

ili tu 'kufanikisha usanii huo wa vita ya kupigana na madawa''
iwapo hizo taarifa ni za kweli....basi hii aibu ni kubwa mno kwa utawala huu..

Yoote hayo ili iwe nini?

wanajaribu ku achieve nini hasa?


Hela wanazotuhumiwa kupewa kina TID zilitolewa na nani na kutoka fungu gani?
 
Kuna mtu aliteuliwa kwa sababu ya uwezo wake mkubwa katika kupiga majungu na kutengeneza matukio ya hamasa kitu ambacho kinapendwa mno na kiranja mkuu sote tu mashahidi (Mkuu ni POPULIST). Wateule wanaonesha sura halisi ya bwana wao, matokeo yake wanaenda spidi bila calculation na kuangalia aina ya barabara wanaumbuka!! Sio aibu, sisi ndio tunapaswa kuogopa kiranja mkuu kuongozwa kwa mipasho na hamasa katika maamuzi yake kwa kiasi ambacho walio chini yake wameamua kuwa hivyo hivyo ili kumridhisha. Tusali na kuswali sana, kiranja mkuu anayepata muda wa kupiga simu kwenye vipindi vya kijamii visivyo na tija yoyote na kutembea instagram, JF na fb muda wote kuangalia nani kamtukana na kumkosoa ili amtie adabu anatia mashaka kwa kweli kwa taifa lenye changamoto kama hili!!
 
Hatukuishia kuwalipa tu pesa, pia tumewalipia gym
b354d9d662243c4ae2e71b999a8a72a7.jpg

with Boss Salaah "GSM"
23854824d921514f412927c67eea8901.jpg

Rommy nae sijui anataka akachukue nafasi ya mwarabu fighter bodyguard wa Chibu
17e8c3b9e594ae018d79dafc8182d37d.jpg

Daudi Bashite Raisi wa dar msanii Ommy d anayeishi kifahari japo ahit now days..anaishi kwenye bangalore alilolipiwa na GSM. Wakiwa Gym
e19ab84d50cb3b0fd31d135940d74443.jpg

Mwana FA hakuwa mjinga kuimba "Tajiri mtoto kama salah zipo ila sikupi mi sio bahili m nibalaa" katika kumsifia boss wao
"The Circle"
Usiulize makonda anatoa wapi pesa
 
Wote tumeshuhudia kilichoitwa 'vita dhidi ya biashara ya madawa ya kulevya'

lakini taarifa zilizojitokeza wiki hiii za kuwa kumbe 'baadhi ya watuhumiwa'
TID na Tunda na Rommy Jones' walilipwa shilingi milioni mbili' kila mmoja

ili tu 'kufanikisha usanii huo wa vita ya kupigana na madawa''
iwapo hizo taarifa ni za kweli....basi hii aibu ni kubwa mno kwa utawala huu..

Yoote hayo ili iwe nini?

wanajaribu ku achieve nini hasa?


Hela wanazotuhumiwa kupewa kina TID zilitolewa na nani na kutoka fungu gani?
tatizo linakuwa compounded pale viongozi wa kiroho kama sheikh Mussa na padre Pengo wanapoutukuza utawala huu.

we're lost as a country. we are nowhere. going nowhere. directionless.
 
Back
Top Bottom