Habari Dear good people? samahani, kuna shirika linaitwa MDH (Management and Development for Health) linajishughulisha na HIV/AIDS related issues. Shirika hilo limetangaza ajira nyingi tu Tabora. Naomba kujua kwa eale wenye uzoefu MDH huwa wako fair kwenye mchakato mzima wa kuajiri na payments zao huwa ziko vp? Ahsante